Tunapouliza Halima Mdee kafanya nini Kawe kwa Miaka yake 10 tujiulize na Sisi kwa 'Kujipendekeza' Kwetu kwa Mamlaka kama 'Wadau' kumetusaidia nini?

Tunapouliza Halima Mdee kafanya nini Kawe kwa Miaka yake 10 tujiulize na Sisi kwa 'Kujipendekeza' Kwetu kwa Mamlaka kama 'Wadau' kumetusaidia nini?

Wewe mwenye siasa hai ziko wapi? Umesikia Halima anatema jimbo unajihakishia kama una kipindupindu. Unadhania Ccm ni taasisi ya wauza mbege? Wewe una siasa gani hai?
Nakuambia mambo yote ambayo tulikuwa tunabishana hapa jukwaani utakuja kuona majibu yake.
Mosi Jimbo la Kawe lazima lirudi CCM
Pili, Chadema itafutika kwenye siasa za Tanzania baada ya Oktoba 2020.

Cdm itafutika kwenye siasa za Tanzania siku kwa kura, na kawe haitarudi ccm kwa kura halali, bali kwa maagizo ya Magufuli katika project yake ya mfumo sukuma. Na hiyo October nilikuambia hakuna uchaguzi, bali ni kelele cha maonesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Wadau nafikiri tuwe wakweli, pamoja na kuwa kuna mtu alipata kura moko kwenye kura za maoni lakini yeye kama mkazi wa kawe anayo haki ya kuhoji mbunge wake ameleta maendeleo gani?

Haya mengine ya kujipendekeza au yeye ameisaidia vipi Tanzania ni hayahusiani kabisa na alichouliza. Hapa ilitakiwa mumjibu vizuri tu huyu Halima amefanya nini cha kimaendeleo? Tena kwa vielelezo.
Sasa kama yeye haoni na ni mkazi wa hapo kawe, na alitia nia lakini wajumbe wakaona hatoshi wajumbe sisi wa mitandaoni hizo ndo spana zetu. WACHA TUMKAZE TU.
 
Back
Top Bottom