Haswaaaaaah hapo sasa.Alichofanya Halima Mdee hakina tofaiti kimaendeleo ya vitu na alichofanya Mwigulu, Ndugai, Mwakyembe, Makamba, Nape, Majaliwa. Atleasr Halima alionesha kwa vitendo kuyataka maendeleo halisi na kupigania haki na utawala bora. Hata hivyo wana kawe wa Mwenge, Masaki, Mikocheni O-bay hawana shida ya barabara maji wala umeme. Shida yao ni haki, uhuru, demokrasia
Paskali njaa, huu uzi umenichekesha sana, umenikumbusha lipigo cha wajumbe alichopata PaskaliNi 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole/ Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.
Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.
Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi (10) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 (2015) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko (Moja) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu (siyo JamiiForums) na Mitaani pia.
Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
Ameulizwa kwanza " Halima anakusanya Kodi?" mbona simple tu...Au hujasikia ya Musoma Jana kutoka kwa authority iliyotukuka.Wadau nafikiri tuwe wakweli, pamoja na kuwa kuna mtu alipata kura moko kwenye kura za maoni lakini yeye kama mkazi wa kawe anayo haki ya kuhoji mbunge wake ameleta maendeleo gani?
Haya mengine ya kujipendekeza au yeye ameisaidia vipi Tanzania ni hayahusiani kabisa na alichouliza. Hapa ilitakiwa mumjibu vizuri tu huyu Halima amefanya nini cha kimaendeleo? Tena kwa vielelezo.
Alikuwa anakusanya kodi kisutu RMC.Ameulizwa kwanza " Halima anakusanya Kodi?" mbona simple tu...Au hujasikia ya Musoma Jana kutoka kwa authority iliyotukuka.
Huna hoja.Alikuwa anakusanya kodi kisutu RMC.
Nasubiri kusikia umepigwa ngumi. Ukweli mtupuNi 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole/ Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.
Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.
Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi (10) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 (2015) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko (Moja) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu (siyo JamiiForums) na Mitaani pia.
Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
Ahaaaa. Kwa hiyo ulitaka diwani afanye kazi ya mbunge? Dc na mkuu wa mkoa pia? Mbunge anashinda mahakamani kesi za kipuuzi zinamuandama!Angezifuatilia Makonda maana ni mkoa wake. Halima alikuwa anashinda mahakamani kwani yeye ni mzee wa mahakama? Jiwe alidhani akiagiza Halima abambikiwe kesi ndio watu wa kawe watashindwa kupambanua hujuma na utendaji? Ama huko Kawe kiongozi ni Halima Mdee tu, hakuna madiwani, mkuu wa wilaya, mkurugenzi nk? Siasa za kizee hazikutoi dogo.
Ahaaaa. Kwa hiyo ulitaka diwani afanye kazi ya mbunge? Dc na mkuu wa mkoa pia? Mbunge anashinda mahakamani kesi za kipuuzi zinamuandama!
Ok fine, hizo siku alipokuwa free alishindwa nini kuwatumikia wana kawe?Mwaka una siku 365, je alikuwa mahakamani zaidi ya siku 60 kwa hizo siku 365? Au ukisikia anashinda mahakamani na ww unarudiarudia hilo neno kama bendera fuata upepo?
Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole/ Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.
Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.
Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi (10) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 (2015) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko (Moja) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu (siyo JamiiForums) na Mitaani pia.
Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
Ok fine, hizo siku alipokuwa free alishindwa nini kuwatumikia wana kawe?
Wewe tindo nae ni mwanaume? Acha kunitisha, tena usinitishe. Kama aliwatumikia wana kawe ungejibu swali alilouliza Mayalla. Kama aliwatumikia wana Kawe mbona Gwajima alichimba visima.Hivi unajua unachokiongea au unajipitisha pitisha kwenye post za wanaume hapa jukwaani? Umesema hajawatumikia wananchi maana alikuwa anashinda mahakamani, nikakuonyesha kuwa ww ni kichwa nazi kwa kukutajia siku za kisha utoe mwenyewe. Saa hii unasema kwanini hajawatumikia siku alizokuwa free? Kama ulishikiwa akili kwa kuambiwa alikuwa anashinda mahakamani, utashindwa kushikiwa kwa kuambiwa kuwa hajawatumikia wana kawe?
Wewe tindo nae ni mwanaume? Acha kunitisha, tena usinitishe. Kama aliwatumikia wana kawe ungejibu swali alilouliza Mayalla. Kama aliwatumikia wana Kawe mbona Gwajima alichimba visima.
Wewe ndio bichwa maji, kama alitumikia wananchi ulipaswa useme,tena with vivid evidence. Sio kuleta hasira baada ya kuona hali ni mbaya.
Wewe mwenye siasa hai ziko wapi? Umesikia Halima anatema jimbo unajihalishia kama una kipindupindu. Unadhania Ccm ni taasisi ya wauza mbege? Wewe una siasa gani hai?Kaa kwa kutulia dogo, huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani.