Tunapowaambia CWT ni tawi la serikali muwe mnaelewa!

Tunapowaambia CWT ni tawi la serikali muwe mnaelewa!

Sasa kwanini wamekataa...wamelogwa nini?
Labda kuna uozo wanataka kuuziba kwanza?

Au wanahofu wakiacha nafasi zao waliokuwa washindani wao watazichukuwa?

Aidha, nafasi ya U-DC ulaji mdogo ikilinganishwa na nafasi walizonazo hapo CWT?

Huenda kweli kuna mzito anawatumia kujinufaisha hapo CWT hivyo kawagomea wasitoke?

Yumkini ni hawana utashi wakutumikia katika nafasi hiyo ya U-DC?

Tuseme wanapingana na mamlaka ya uteuzi wao kama CWT?

Lakini kwanini iwe kwa wote watatu what a coincidence?
 
CWT Kuna mihela ya Bure ya walimu Imekaa tu inasubiri kuliwa
 
Tunapata ziada za masomo through Google...sivyo utufikiriavyo.siyo wote tulikuwa na simu kupyatila mkuu,hakika Samia kaupiga mwingi🤗
Kumbe wewe ticha, wanawake walimu 90% ni waifu matirio, Ila wa zamani sio hawa wa sasa
 
Kiwango cha chini kabisa cha makato ya CWT kwa walimu ni 10,000 kila mwezi hapo kuna walimu wanakatwa mpaka 20,000kulingana na daraja alilopo
Basi tuseme elfu kumi tu kwa walimu laki tatu
10,000x300,000=3,000,000,000 tsh mapato ya CWT kila mwezi
Ambapo hapo kila mwaka mwalimu anarudishiwa elfu kumi na tano na tishirt ya mri mosi
Sasa kwa nini mtu asikatae uteuzi?
Walimu,walimu
 
Kuna masuala ya ndani CWT wameigomea serikali kwa hiyo wanatolewa pale ili wawekwe chawa!

Kabla ya Katibu Mkuu wa sasa alikuwepo Mwl Deus Seif ambaye pia alitolewa kwa kesi ya aina yake,hukumu ya kifungo na faini kwa pamoja ili tu atoke pale.

Hawa nao bado ngoma ni mbichi,kuna mfululizo wa matukio lazima watang'oka tu.
 
Na wamekataa teuzi Ili waendelee kutunyonya walimu....Samia mama,,please CWT ichunguzwe tunaliwa
ata ningekuwa mm ningekataa yan niache 7m+/mwezi + allowance niende kwenye kazi ya 3ml na kufukuzwa na kusemwa semwa na vijamaa vingne visivyo ata na taaluma sawa na yako hio ni HAPANA
 
Ulipiga combo Gani A' level?
Mtu anakwambia anafundisha kiswahili na math, alafu unauliza alipiga combi gani A level. Si ungejiongeza tu kuwa huyu Ni wale walimu wa shule ya Msingi walioishia form four.
 
Tunapata ziada za masomo through Google...sivyo utufikiriavyo.siyo wote tulikuwa na simu kupyatila mkuu,hakika Samia kaupiga mwingi[emoji847]
..... simu kupyatila [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom