Labda kuna uozo wanataka kuuziba kwanza?Sasa kwanini wamekataa...wamelogwa nini?
Sawa mwalimu wa kiswahili 😂Mbeya
Kisw,mathSawa mwalimu wa kiswahili 😂
Ulipiga combo Gani A' level?Kisw,math
Kumbe wewe ticha, wanawake walimu 90% ni waifu matirio, Ila wa zamani sio hawa wa sasaTunapata ziada za masomo through Google...sivyo utufikiriavyo.siyo wote tulikuwa na simu kupyatila mkuu,hakika Samia kaupiga mwingi🤗
Wapate Wote Ili Asubuhi Waache Kufundisha Wawe Wanaperuzi Na Kudadisi
Facebook , Instagram, Twitter, Badoo, Tinder, Telegram, WhatsApp, Signal, We Chat
Hapo,walimu ....makofi kwa kwa kwa kwaMwalimu Serikali Mwezi February Itaanza Kutoa MB Kwaajili Ya Vishkwambi Vyote Tanzania
Hilo ni shirikisho la vyama vyote vya wafanyakazi TanzaniaNa Tukuta je?(TUCTA)
Mkuu tulia kwanza walimu wapate vishikwambi.
Mtuwacheeee walimu😅😅😅
ata ningekuwa mm ningekataa yan niache 7m+/mwezi + allowance niende kwenye kazi ya 3ml na kufukuzwa na kusemwa semwa na vijamaa vingne visivyo ata na taaluma sawa na yako hio ni HAPANANa wamekataa teuzi Ili waendelee kutunyonya walimu....Samia mama,,please CWT ichunguzwe tunaliwa
Na huku hujambo To yeye .....Tunapata ziada za masomo through Google...sivyo utufikiriavyo.siyo wote tulikuwa na simu kupyatila mkuu,hakika Samia kaupiga mwingi🤗
Mtu anakwambia anafundisha kiswahili na math, alafu unauliza alipiga combi gani A level. Si ungejiongeza tu kuwa huyu Ni wale walimu wa shule ya Msingi walioishia form four.Ulipiga combo Gani A' level?
Toba...🙊 kumbe mnaliwa..😳🤥Na wamekataa teuzi Ili waendelee kutunyonya walimu....Samia mama,,please CWT ichunguzwe tunaliwa
..... simu kupyatila [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunapata ziada za masomo through Google...sivyo utufikiriavyo.siyo wote tulikuwa na simu kupyatila mkuu,hakika Samia kaupiga mwingi[emoji847]
🤣🤣🤣🤣🤣..... simu kupyatila [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]