The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Wale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?
Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.
Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?
Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?
Uganda , Namibia?..
Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.
Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?
Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?
Uganda , Namibia?..
Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?