Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,502
- 6,049
Wanamichezo tunao wengi tu, kutokana na mchanganyiko wetu, hatuwezi kukosa Wanariadha, warusha tufe na mkuki, team za volleyball nk
Ndugu yetu Malaika Mihambo ameshinda gold medal leo japokuwa anaiwakilisha German ila hii inaonyesha kuwa tuna damu za michezo ndani yetu
Hizo shule zikianzishwa kina mwigulu watawapeleka watoto wao,mijinga imekaba kila idara,kuna kipindi timu 1 ya epl iliingia mkataba wa kufundisha watoto pale jk park,walijaa watoto wa kiarabu na watoto wa vigogo,nchi ya ajabu sana hiyoKila mafanikio yanahitaji uwekezaji, China wana shule za kufundisha watoto michezo kuanzia miaka mitano. Waliwekeza katika hili baada ya kugundua gold medals kwenye mashindano ni tija kwa Taifa.
bora umeniwahi maana nilikuwa nakuja na page nne zilizo shibaWale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?
Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.
Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?
Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?
Uganda , Namibia?..
Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
Tunabana matumizi ya safari za nje bado.Wale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?
Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.
Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?
Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?
Uganda , Namibia?..
Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
Ni moja ya indications kuwa tunafeli, tunarudi nyuma. Nchi inaporudi nyuma inakuwa inafail kwenye maeneo mbalimbali.Wale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?
Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.
Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?
Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?
Uganda , Namibia?..
Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
ngoja nimalizie hii game ya brazil na mexico dakika ya 84, 0-0Zishushe hapa hapa
India wana wanawake mabonge wanajua muchezo. Sio vimbaumbau, ni ajabuWe unafuatualia Olympics?
India wamepeleka hadi mabondia.
Warusha tufe..timu za polo na hockey.
Unaongea mradi kuongea?
India wame host hadi Common wealth games..
Kwahiyo nchi ndogo Kama kata ya olasiti pale Arusha inatutoa KO?Wale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?
Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.
Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?
Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?
Uganda , Namibia?..
Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
Nani asijua marekani ndie kinara wa mpira wa kikapu?? Sio lazima uwe bingwa kwa vyote walau shikilia hata kidogo kama kenya walivoshika riadha.Huwezi kuwa bora kwenye kila kitu, Marekani na umwamba wake wote ule lakini football team yao sio kali kivile
Hahahahahaha wameenda matembeziInatia aibu sana hata beach volleyball hamna watu ,ajabu wameenda wanariada watatu na viongozi wao wanne
Sawa kwenye soccer sio bora je kwenye basketball? Baseball? Football?Huwezi kuwa bora kwenye kila kitu, Marekani na umwamba wake wote ule lakini football team yao sio kali kivile
Waziri wa michezo ni kada wa chama unatarajia zaidi ya kutetea ugali wake anajipya?Wale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?
Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.
Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?
Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?
Uganda , Namibia?..
Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
1. Kuiba kura.Sawa kwenye soccer sio bora je kwenye basketball? Baseball? Football?
Je sisi Tanzania tuna ubora kwenye swala gani?
ππππ Kwahiyo huko Olympic tunavamia fani za wengine?1. Kuiba kura.
2. Kubambizia kesi wapinzani
3.
4...
Huwezi kuwa bora kwenye kila kitu, Marekani na umwamba wake wote ule lakini football team yao sio kali kivile
Kwenye mchezo wa kugegeda tupo vizuri sana tukifuatiwa kwa mbali na Nigeria (jokes)Sawa kwenye soccer sio bora je kwenye basketball? Baseball? Football?
Je sisi Tanzania tuna ubora kwenye swala gani?