Tunapozidiwa hadi na nchi zenye watu laki 3 kwenye Olympics

Tunapozidiwa hadi na nchi zenye watu laki 3 kwenye Olympics

Wanamichezo tunao wengi tu, kutokana na mchanganyiko wetu, hatuwezi kukosa Wanariadha, warusha tufe na mkuki, team za volleyball nk
Ndugu yetu Malaika Mihambo ameshinda gold medal leo japokuwa anaiwakilisha German ila hii inaonyesha kuwa tuna damu za michezo ndani yetu
 
Wanamichezo tunao wengi tu, kutokana na mchanganyiko wetu, hatuwezi kukosa Wanariadha, warusha tufe na mkuki, team za volleyball nk
Ndugu yetu Malaika Mihambo ameshinda gold medal leo japokuwa anaiwakilisha German ila hii inaonyesha kuwa tuna damu za michezo ndani yetu


Aibu sana
 
Wakiongeza kipengele cha umbea hakika hatutokosa.
 
Kila mafanikio yanahitaji uwekezaji, China wana shule za kufundisha watoto michezo kuanzia miaka mitano. Waliwekeza katika hili baada ya kugundua gold medals kwenye mashindano ni tija kwa Taifa.
Hizo shule zikianzishwa kina mwigulu watawapeleka watoto wao,mijinga imekaba kila idara,kuna kipindi timu 1 ya epl iliingia mkataba wa kufundisha watoto pale jk park,walijaa watoto wa kiarabu na watoto wa vigogo,nchi ya ajabu sana hiyo
 
Wale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?

Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.

Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?

Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?

Uganda , Namibia?..

Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
bora umeniwahi maana nilikuwa nakuja na page nne zilizo shiba
 
Wale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?

Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.

Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?

Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?

Uganda , Namibia?..

Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
Tunabana matumizi ya safari za nje bado.
 
Wale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?

Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.

Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?

Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?

Uganda , Namibia?..

Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
Ni moja ya indications kuwa tunafeli, tunarudi nyuma. Nchi inaporudi nyuma inakuwa inafail kwenye maeneo mbalimbali.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?

Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.

Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?

Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?

Uganda , Namibia?..

Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
Kwahiyo nchi ndogo Kama kata ya olasiti pale Arusha inatutoa KO?
 
Wale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?

Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.

Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?

Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?

Uganda , Namibia?..

Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
Waziri wa michezo ni kada wa chama unatarajia zaidi ya kutetea ugali wake anajipya?
 
Back
Top Bottom