Tunasema kwa niaba ya Iran; "Hiloooo sijaumia" Radar S300 na S400 za Iran zimepasuliwa

Yaani jisi wabongo tunashangilia hii vita, ngoja kinuke dunia nzima tupelekwe frontline 🐼
binafsi,jukwaa nililobakiza Jf ni ili la intaneshino,majukwaa mengine particularly la siasa sitembelei kabisa maana hakuna chochote uko.
Ukiingia uko unaweza piga ukuta ngumi.
uku intaneshino Kuna raha na tunasahu shida zetu kwa muda.
 
binafsi,jukwaa nililobakiza Jf ni ili la intaneshino,majukwaa mengine particularly la siasa sitembelei kabisa maana hakuna chochote uko.
Ukiingia uko unaweza piga ukuta ngumi.
uku intaneshino Kuna raha na tunasahu shida zetu kwa muda.
Mkuu wenye dunia wasije tu kukengeuka hizo silaha za moto zikaanza kurushiwa huku kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…