Tunashabikia UEFA Champions League lakini pesa anayolipwa bingwa wa EPL ni kubwa zaidi

Watu mmekuwa wapole sijapata luona. Vinginevyo huyu mleta mada angepewa mitusi
 
SkySport hawana rights za kurusha EPL. wenye rights ni BskyB na BT (British Telecoms). Ingawaje BSkyB ndio wamiliki wa Sky
 
Watanzania tunasikitisha sana. Ila naamini tatizo ni hii elimu. Tumekua kama hawa wazee wanatuambia shirika la Ndege linaingiza mabilioni bila kutueleza operation cost ni kiasi gani.
Bingwa wa UEFA msimu uliopita kapiga €89.5 mill, msimu huu zawadi zimeongezwa by 10%. Sasa kwa akili za haraka tu maandalizi ya mechi 38 na maandalizi ya mechi 13 nani anaingia gharama zaidi?
Sasa weka na hiyo nyongeza ya 10%.
 
.
kwa maana hio unatuaminisha kua mshindi wa 3 championship anapata hela nyingi kuliko bingwa wa championship na ligi kuu?
 
10 mil Pounds ni bil 2.7 TZS!![emoji15] [emoji15] [emoji15]
 



sijachangia kwa muda kidogo kwenye nyuzi za soccer ila hii mada imenigusa nichangie hapa, nafikiri hujui ile PRIZE-MONEY inapatikana vipi na kwa mchanganuo upi(Based on UEFA Competition)...na nachoona hapo umegusia tu pesa za EPL Bila kutoa mchanganuo wa UEFA, Ukweli ni kuwa huo mgawanyo wa pesa za uefa unamlolongo mrefu sana na unatokana na vigezo vingi sana kwa bingwa na hata kwa washiriki wengine ikiwemo NUMBER OF WINNING MATCHES PER GROUP STAGES, PER KNOCK-OUT STAGES, QUARTER-FINAL STAGES, SEMI-FINAL STAGES UP TO THE FINAL...Hivyo kama umenielewa nachomaanisha ni kuwa kuna timu inaweza isiwe bingwa wa michuano ya UCL na akawa kapata pesa nyingi kuliko winner mwenyewe kutokana na matokeo halisi iliyopata katika kila matches pamoja na live games zake zilizorushwa na vituo vilivyopewa dhamana na UEFA wenyewe based on TV-Rights Kwa mfano mwaka jana juve alifika fainali lakini hakutwaa ubingwa na mwisho wa siku wakaibuka na pesa ndefu ambayo ni €101.1 million kuliko timu yangu bingwa madrid iliyopata €89.5 million pamoja na kuchukua taji lile la UCL, Hii inatokana na vigezo vingi vikiwemo nilivyogusia hapo awali hivyo kila stage ya champions league ni pesa, hapo chini nitaweka mchanganuo halisi katika kila stage ya UEFA based on 2017/2018 na 2014/2015...Ingawaje kuna tofauti kidogo kwenye prize money katika misimu hiyo miwili, kuhusu swala la kuwa na pesa kidogo ni liko wazi kabisa...maana pesa haitolewi tu kizembe kwasababu ya ukubwa/jina la Trophy isipokuwa kutokana na mapato yaliyoingizwa na shirikisho hilo la soccer ulaya katika msimu husika hivyo ni wazi kabisa mapato yatakayopatikana kutokana na maandalizi ya zile matches 13 za UEFA si sawa na matches 38 za EPL, Hivyo ulinganishi wako hauna misingi yoyote labda ungelinganisha ligi na ligi kule europe labda EPL VS SERIE A, LALIGA , BUNDESLIGA, LEAGUE 1, EREDIVISIE, LIGA NOS...n.k Hapo ungeeleweka atleast kuliko kulinganisha EPL yenye matches 13 na EPL yenye matches 38, michanganuo hiyo hapo jionee mwenyewe. Nafahamu umefika kote huko kuikosoa hiyo uefa kwa kuwa timu yako chelsea imeshindwa kufurukuta na hatimaye kutolewa mapema tu. usijali huo ndo mchezo ila sio kuiponda michuano waache waliofanikiwa kuendelea hatua za mbele kufikia fainal wavune wanachopanda.


POT 1: UEFA Champions League 2017-18 Fixed Amount Distribution

STAGE Total Fixed Amount: €761.9 million​

Playoff Bonus : €50 million distributed to 20 teams who participated in playoffs. €2m each for playoff winners and €3 million each for eliminated teams.

Participation Bonus: €12.7 million (Guaranteed) for each 32 teams who play in the group stages

Performance Bonus: €1.5 million for every win & €500,000 for every draw in group stages

Round of 16: €6 million each for 16 teams

Quarter Finals: €6.5 million each for 8 teams

Semifinals: €7.5 million each for 4 teams

Runner Ups: €11 million

Final: €15.5 million

Potential Total : Winner of 2017-18 champions league can earn between €54m to €57.2m from “Fixed Amount” pot. Plus Market pool money which can easily elevate total earnings of winners from England, Spain, Germay or Italy around €100 million (prize money + market pool)




Champions League 2016-17 Finalists

STAGE Real Madrid VS Juventus​

Participation Bonus : REAL €12.7 million, JUVE €12.7 million.

Performance Bonus: REAL €6 million (for winning 3 group games and drawing 3), JUVE €8 million (for winning 5 group games + 1 Draw)

Market Pool: REAL €35.3 million, JUVE €50.6 million.

Round of 16: REAL €6 million, JUVE €6 million.

Quarter Finals: REAL €6.5 million , JUVE €6.5 million.

Semifinals : REAL €7.5 million, JUVE €7.5 million.

Finals: REAL €15.5 million (winners), JUVE €11 million (runner ups)

TOTAL: REAL MADRID €89.5 million, JUVENTUS €101.1 million.


    • Real Madrid will earn around €35.3 million in market pool money plus €54.2m in performance based money taking total earnings from 2016-17 season to €89.3 million.
    • Juventus will get around €50.6 million in market pool plus €51.5m in performance based making grand total of €101.1 million for their 2016-17 champions league campaign.

UEFA Distributed Prize Money In 2014-15 Champions League Season.

Following table shows how all the 32 participating teams were paid in prize money, performance bonus and market pool money.




NI HAYO TU NDUGU!
 
Shida yangu hapa kwa nini uefa hawamthamini bingwa wa uefa achana na matokeo yake uwanjani toka mashindano yanaanza kitendo tu cha kufika mpaka finally na hatimaye kutwaa ndoo ni kitu cha kuthamini mno
Na ndio maana nasema hivi vigezo vyao wanavyoangalia sijui namna team ilvyofanya tvizuri toka mwanzo sio haki

Waangalie yule anayeenda kutwaa ndoo maana huyo atakuwa ametumia akili nyingi sana mpaka kuwa bingwa bila kujali alifanyaje uwanjani

Swala la sijui match ni chache kuliko za league mimi siliafiki kwa kuwa hii michuano inashirikisha wale wababe kutoka kwenye hizo league na wanakuja kutuonyesha nani mbabe au nani anaujua kuliko mwingine mpaka anaenda kutwaa ndoo hili tu lilitosha hii michuano bingwa awe anapata mshiko mrefu kuliko hata hizo league

Nafikri uefa waongeze wadhamini hili linawezekana sana
Swala la bingwa kuchukua pesa ndogo wakati mwingine kisa uwezo aliouonyesha uwanjani ni aibu kwa UEFA champions league na umaarufu wake wote
 
Upo sawa. Vp kwenye fainal ya championship?
Mimi nitaeleza kwa uelewa, Championship play off inaitwa big money price kwa maana ukishinda play off na kwenda EPL team inakuwa umaskini byebye kwa wakati huo maana kuwa promoted kwenda EPL ina maana team itapata mpaka Milion 170. Kama nilivyosema sababu kubwa kuwa playoff tajiri sana ni kusema nilikuwa napata Million 20 lakini leo nikishinda naingia katika Million 100+ maana team ya chini tu EPL anaokota kiasi hicho. wana mfumo wao wa kuzawadia team ila ni ukweli playoff tajiri kwa maana guarantee generate revenue. Nimejitahidi kuelezea kwa uelewa wangu na naweza kuwa sio kila kitu ni sawa.
 
Daaah . . . . kweli kuna tofauti ya nchi za dunia ya kwanza na nchi za dunia ya tatu . Tuna safari ndefu sana kufika huko na ligi yetu hii ya Tanzania iliyojaa mipango mipango

Anyway .. . . let the rythm continue
 
Halafu kabla ya hicho kiasi kuna pesa timu hupata kila inapo vuka hatua fulani na huongezeka kila hatua....
 
UEFA Champions league kila hatua kuna mpunga tena WA maana Sasa ukikusanya wote mpaka Kombe n mpunga mkubwa kuliko Epl
 

Hujaeleweka, inaonekana wewe mwenyewe hujui vizuri.

Ungepata muda wa kigoogle then ndo ukaleta maelezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…