Ku google kila mtu anaweza hilo. kwa maana nyepesi ukishinda play off ni kama umeshinda jackpot ya Million 170 ukifungwa unarudi ulikotoka kutafuta pesa ya kununua ticket ya jackpot tena.Hujaeleweka, inaonekana wewe mwenyewe hujui vizuri.
Ungepata muda wa kigoogle then ndo ukaleta maelezo.