Tetesi: Tunashukuru kwa Serikali kumalizana kabisa na Mkulima wa ndege

Tetesi: Tunashukuru kwa Serikali kumalizana kabisa na Mkulima wa ndege

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Habari za weekend?

Nina info za uhakika kabisa kutoka vyanzo vya kuaminika kabisa kabisa kwamba Mkulima kamalizwa na malipo yalikamilishwa Jumanne iliyopita, na ni madai yake yote na safari hii pia tutarajie hata safari za South Africa kuanza muda wowote kuanzia sasa.

Cha kushangaza kidogo Pesa zilizolipwa kwa Mzungu zimekuwa deducted kutoka kwenye pesa za matumizi ya Rais au Ofisi ya Rais. Na hii ni ili ukaguzi usiwepo kabisa, hivyo hizi pesa hazitakaa zikaguliwe kokote kule na hapo hazina wana jukumu sasa la kupeleka cash zingine kwenye matumizi ya Ikulu.

Jamaa kaniambia kwenye makubaliano ni kwamba Mkulima asiongelee chochote kile na hili sharti pia lina gharama zake maana yake kuna pesa na za ziada kapewa ambazo in hisiwa ni za kumnyamazisha kwenye socia media. Hivyo basi hamtakaa msikie mzungu akiongea chochote kuhusu ndege ila kamamalizwa kabisa.

Tunashukuru Serikali kwa kumalizana naye.

Na kwa sasa ndege zetu zitakuwa huru kufanya safari kokote kule duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yawezekana. Kwangu mimi haina tofauti maana waliofanya kosa hilo wanajulikana na siyo Magufuli. Ikaguliwe isikaguliwe, haina sense yoyote maana kuna safari nchi hii zilitumia pesa ambayo hadi leo haijulikani ni kiasi gani, maana nasikia watu walitembea na mabegi ya dola.
 
Ni vyema sana kama ndilo hilo lilitendeka. Tunatamani ndege zetu ziruke hadi Dubai, Washington DC na Ontario hadi Perth. Faida ya ndege huja kwa kusafiri kwingi sio kujazana KIA na JINA. Sio za kutazamwa kwa macho bali kupandwa kwa nauli. Mambo ya matamko kuwa akina fulani wapande bure biashara haiko hivyo
 
Hata kama ni kweli tumelipa, Immmma, Tundu Lisu& Co. hawakujui na wala hawatakupa hata shilingi, wenzako hela ya uwakili wameingiziwa kwenye akaunti na Muzungu wewe takataka unabakia kupiga mihayo ya ushabiki hapa JF.

Low IQ individual!
 
Halina mjadala pasipo kithibitisho? Au ni sababu ndio habari unayoipenda, as if ni makosa ya magu kumdhulumu huyo mzungu, haters mbona mtateseka sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo mzungu alikuwa analipwa na marais wote waliopita hata kama deni halikuisha. Alipoingia magu kama kawaida yake ya kutumia mabavu kwenye haki za watu, akagoma kumlipa huyo mzungu, bila kujua huyo mzungu sio sisi makondoo wa hapa tunaomuachia Mungu. Huyo mzungu kaenda kwenye nchi ambazo sheria ziko juu ya viongozi wa nchi mpaka kapata haki yake. Laiti huyo mzungu angeendelea kudai haki yake kwenye mahakama za hapa nyumbani tena akiwa hapa, asingepata haki yake maana mahakama haziko huru, na si ajabu watu wasiojulikana wangekuwa wameshaagizwa wamfanyie ya Lissu.
 
Back
Top Bottom