Tetesi: Tunashukuru kwa Serikali kumalizana kabisa na Mkulima wa ndege

Tetesi: Tunashukuru kwa Serikali kumalizana kabisa na Mkulima wa ndege

Una uhakika kapata haki yake? Au unatamani Iwe hivyo? Unajua alikua analipwaje huko nyuma mpaka sasa hivi Magu akaamua kusitisha malipo ya huyo mzungu? Usipende kuropoka vitu usivyovijua kisa tu upo kwenye keyboard hakuna mtu anaekujua.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app

Asingellipwa ungeona mbwembwe kama zile za Afrika kusini kuwa tumemshinda mzungu. Kitendo cha kuona hiyo ndege bila mbwembwe za kushinda kesi pigia jibu mstari.
 
Halina mjadala pasipo kithibitisho? Au ni sababu ndio habari unayoipenda, as if ni makosa ya magu kumdhulumu huyo mzungu, haters mbona mtateseka sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Kosa siyo kudaiwa wala kiini cha deni; hakuna serikali duniani isiyodaiwa. Kosa ni jaribio la kumdhulumu mkulima kwa kukataa kuendelea kumlipa na kumpiga marufuku kukanyaga ardhi ya nchi hii wakati anatudai! That was a stupid and primitive mistake. We are not a gangster republic; whoever advised on this course of action must be made to account.
 
Ni vyema sana kama ndilo hilo lilitendeka. Tunatamani ndege zetu ziruke hadi Dubai, Washington DC na Ontario hadi Perth. Faida ya ndege huja kwa kusafiri kwingi sio kujazana KIA na JINA. Sio za kutazamwa kwa macho bali kupandwa kwa nauli. Mambo ya matamko kuwa akina fulani wapande bure biashara haiko hivyo
Yes ndege zetu peleke nyama ya mbuzi Dubai kama alivyosema bablai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za weekend?
Nina info za uhakika kabisa kutoka vyanzo vya kuaminika kabisa kabisa kwamba Mkulima kamalizwa na Malipo yalikamilishwa Juma 4 ilio pita, na ni Madai yake yote na safari hii pia tutarajie hata safari za South Africa kuanza muda wowote kuanzia saaa.

Cha kushangaza kidogo Pesa zilizo lipwa kwa Mzungu zimekuwa Deducted kutoka kwenye pesa za matumizi ya Raisi au Ofisi ya Raisi. Na hii ni ili ukaguzi usiwepo kabisa, hivyo hizi pesa hazitakaa zikaguliwe kokote kule na hapo Hazina wana jukumua sasa la kupeleka Cash zingine kwenye Matumizi ya Ikulu.

Jamaa kaniambia kwenye Makubaliano ni kwamba Mkulima asiongelee chochote kile na hili Shariti pia lina gharama zake make kuna pesa na za ziada kapewa ambazo in hisiwa ni za kumnyamazisha kwenye Socia Media. Hivyo basi hamtakaa .msikie mzungu akiongea chochote kuhusu ndege ila kamamalizwa kabisa.

Tunashukuru Serikali kwa Kumalizana naye.

Na kwa sasa Ndege zetu zitakuwa huru kufanya safari kokote kule Duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazalendo tumehakikisha mkulima analipwa haki zake. Huu ndio ustaarabu wa ulimwengu wa sasa
 
Hata kama ni kweli tumelipa, Immmma, Tundu Lisu& Co. hawakujui na wala hawatakupa hata shilingi, wenzako hela ya uwakili wameingiziwa kwenye akaunti na Muzungu wewe takataka unabakia kupiga mihayo ya ushabiki hapa JF.

Low IQ individual!
Ni aibu kutokulipa madeni ya wazi kama hayo. Ni sawa na wewe Barbarosa uwe unatumia maji au umeme halafu HULIPI MPAKA UKATIWE!
Sio tabia nzuri, au ndivyo ulivyo binafsi? Kwamba hulipi mpaka ukatiwe huduma hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leta habari wewe sasa alivyo kuwa analipwa
Una uhakika kapata haki yake? Au unatamani Iwe hivyo? Unajua alikua analipwaje huko nyuma mpaka sasa hivi Magu akaamua kusitisha malipo ya huyo mzungu? Usipende kuropoka vitu usivyovijua kisa tu upo kwenye keyboard hakuna mtu anaekujua.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ah ah wamarwkani wana neno lao we dont negotiate with terrorist...basi serikali ijiandae na kesi kila kona ya dunia wale wote waliokua wanadai wakijua hili linawezekana...nawasilisha
Acha uongo. Marekani inafanya sana negotiations na terrorists, ambao hawafanyi ni Russia na Israel. Hawa wako tayari uwaue mateka kuliko wakubali masharti yako

Sent from my PBCM30 using Tapatalk
 
Huyo mzungu alikuwa analipwa na marais wote waliopita hata kama deni halikuisha. Alipoingia magu kama kawaida yake ya kutumia mabavu kwenye haki za watu, akagoma kumlipa huyo mzungu, bila kujua huyo mzungu sio sisi makondoo wa hapa tunaomuachia Mungu. Huyo mzungu kaenda kwenye nchi ambazo sheria ziko juu ya viongozi wa nchi mpaka kapata haki yake. Laiti huyo mzungu angeendelea kudai haki yake kwenye mahakama za hapa nyumbani tena akiwa hapa, asingepata haki yake maana mahakama haziko huru, na si ajabu watu wasiojulikana wangekuwa wameshaagizwa wamfanyie ya Lissu.
Alikuminya haki gani mkuu? Au vyeti feki?
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Halina mjadala pasipo kithibitisho? Au ni sababu ndio habari unayoipenda, as if ni makosa ya magu kumdhulumu huyo mzungu, haters mbona mtateseka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mme kuwa Wapole, baada ya kulipa, tuliwaambia kabudi anawadanganya hamkusikia,

Ule ulikuwa ubabe wa kishamba tu. Umewagharimu
 
Back
Top Bottom