GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Japo ni mwana Simba SC lia lia ila kwanini nawapenda Yanga SC ( hasa Kiuchezaji ) ni kwamba Wachezaji wao hata kama wameshinda lakini muda Wote wa Mchezo wanakuwa very committed kutaka Ushindi zaidi na Wanahamasishana muda wote na Umakini ukiwa ni wa hali ya juu na kamwe hawabweteki tofauti na ilivyo kwa Simba SC yangu.
Simba SC nawaonya msije Kuthubutu Kucheza mpira ule mbovu ( japo tumeshinda Goli 3 jana dhidi ya Timu ya Mkoani Kwangu Mara ) ya Biashara United FC tukicheza na Yanga SC hii iliyokamilika kwa Kuna uwezekano wa hata tukapigwa Goli Kumi ( 10 ) huku 'Mtetemaji' Fiston Kalala Mayele 'akitetema' peke yake mara Saba ( 7 )
Yaani Uwanja mzuri wa Mkapa tunacheza vibaya vile je, tukienda tena Viwanja vibovu vya huko Mikoani itakuwaje? Sijafurahishwa na Ushindi wa Goli zile Tatu ( 3 ) za Jana kwani Uwezo wa Kuwafunga hata Goli 8 ulikuwepo kama Wachezaji wetu wa Simba SC wangejitambua na kuwa makini.
Simba SC nawaonya msije Kuthubutu Kucheza mpira ule mbovu ( japo tumeshinda Goli 3 jana dhidi ya Timu ya Mkoani Kwangu Mara ) ya Biashara United FC tukicheza na Yanga SC hii iliyokamilika kwa Kuna uwezekano wa hata tukapigwa Goli Kumi ( 10 ) huku 'Mtetemaji' Fiston Kalala Mayele 'akitetema' peke yake mara Saba ( 7 )
Yaani Uwanja mzuri wa Mkapa tunacheza vibaya vile je, tukienda tena Viwanja vibovu vya huko Mikoani itakuwaje? Sijafurahishwa na Ushindi wa Goli zile Tatu ( 3 ) za Jana kwani Uwezo wa Kuwafunga hata Goli 8 ulikuwepo kama Wachezaji wetu wa Simba SC wangejitambua na kuwa makini.