Kijana wa hovyo sana wewe!! Na hustahili kupata kazi hii, una upumbavu mkubwa sana!! Kuna maandalizi gani unahitaji kufanya kwa jambo usilojua utaulizwa nini na vipi?? Je ndio kusema kama wote mngefaahamishwa siku tatu kabla wote msingefaulu??
Utafika kwenye usahili na malalamiko haya kichwani na utafeli!! Ukisikia kutojiamini ni hii.
Utakaa unavuja mijasho na kutoa hewa chafu na suti yako ya mchongo. Kisha utarudi nyumbani na hutawasikia tena wakiwasiliana na wewe.
Ungekuwa na maana zaidi kama ungesema siku 3 hazikutoshi kusafiri kwenda eneo la usahili. Sio habari ya maandalizi ya written interview ya kitu ambacho hujaambiwa ni nini ujiandae kuandika.