Tunashukuru mechi ya Simba na Yanga imeisha muda huu, Yanga tumeshinda tena Allahamdulilah

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Ustaadhi wetu kashamaliza mchezo. Mchezo ulikuwa ngumu kutokana na Simba kuwa wana timu nzuri lakini kwa mipango hii tumewashika pabaya. Mzee Mpili alitimiza malengo akapata changamoto kidogo lakini Ustadhi wetu amekuja kumaliza mchezo.

Wana Yanga tambeni, huu mchezo tumeshashinda. Tunashukuru kwa michango yenu, na pia viongozi kutuunga mkono. Hatuwezi fungwa na simba, sisi siyo mabwege.

Sisi siyo De Agosto. Yanga tukifungwa leo nipigwe ban wiki mbili. Hatuwezi fungwa na Simba wachovu.
 
Ingekuwa hivyo Saudi Arabia kila siku wao ndio wangekuwa mabingwa wa makombe yote wanayoshiriki Duniani
 
😁😁😁🀣
 
Wazee wa tv ya asili katika ubora wenuπŸ˜…πŸ˜…
 
We mwenyewe kwenye uandishi umuanza kuitaja Simba alafu ndo Uto,wakati mechi ya leo ni Utopolo na Simba.kuandika tu ushafeli mwanauto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…