steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Wamekubalianaje?Maduka Kariakoo yamefunguliwa wananchi wanachapa KAZI. Asanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekubalianaje?Maduka Kariakoo yamefunguliwa wananchi wanachapa KAZI. Asanteni
Kamuulize Mama BongeHivi ule mgomo Wa kwanza waligomeaga Nini ?
HakikaSasa kazi iendelee
Kawaida ya migomo kote duniani huwa ni ya masaa na lengo huwa ni kufikisha ujumbe kwa serikali.Wamepata kilichowafanya wagome au maneno ya RC Chalamila ndio yametimia kwamba HAKUNA mfanyabiashara mwenye uwezo wa kufunga biashara kwa wiki nzima?
Waliogoma wamepata faida gani?Maduka Kariakoo yamefunguliwa wananchi wanachapa KAZI. Asanteni
Baada ya hapo?Kawaida ya migomo kote duniani huwa ni ya masaa na lengo huwa ni kufikisha ujumbe kwa serikali.
Wasiogoma wamepata HASARA Gani?Waliogoma wamepata faida gani?
Dah nimelia sana 😭Hongera Albert
Wasiogoma hakuna hasara waliyopata. Lakini, waliogoma wamepoteza pesa za mauzo ya siku kadhaa walizogoma kufungua maduka.Wasiogoma wamepata HASARA Gani?
Okay. Next?Wasiogoma hakuna hasara waliyopata. Lakini, waliogoma wamepoteza pesa za mauzo ya siku kadhaa walizogoma kufungua maduka.
Chalamila mtu makini sanaWaliokuwa wanamponda A.CHALAMILA na uwezo wake wa kutatua migogoro nadhani wamemuelewa sasa!😀😀.
Alisema wanaogoma wagome na wanaoendelea na biashara waendelee,na yeye atawalinda wote wanaogoma na wasiogoma.
Mkuu wa mkoa namkubali sana,huwa anafalsafa zake fulani hiviii,siye wenye akili ndogo inatuchukua muda kumuelewa.
Ukimwona mtoto mdogo anaponza kupiga hatua kujifunza kutembea hutaamini kabisa kuwa kuna siku anaweza kuja kuwa nguli wa kutimua mbio kama mwanariadha au mcheza mpira bila kuanguka. Kwangu mimi ''migomo uchwara'' namna hii inaashiria wanachi wanaanza kujitambua japo kwa shida sana. Najua CCM watadharau lakini dalili za namna hii hazitakiwi kudharauriwa.Wameahidiwa Tena Hadi hewa na kukubali?Tanzania kujikomboa kama Kenya Bado sana.
Sio TanganyikaUkimwona mtoto mdogo anaponza kupiga hatua kujifunza kutembea hutaamini kabisa kuwa kuna siku anaweza kuja kuwa nguli wa kutimua mbio kama mwanariadha au mcheza mpira bila kuanguka. Kwangu mimi ''migomo uchwara'' namna hii inaashiria wanachi wanaanza kujitambua japo kwa shida sana. Najua CCM watadharau lakini dalili za namna hii hazitakiwi kudharauriwa.