Tunashukuru Mungu hawajaumia na kupoteza Maisha watu wengi Uwanja wa Taifa leo kwenye mechi ya Yanga. TFF wawajibike kwa uzembe mkubwa

Tunashukuru Mungu hawajaumia na kupoteza Maisha watu wengi Uwanja wa Taifa leo kwenye mechi ya Yanga. TFF wawajibike kwa uzembe mkubwa

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
2,255
Reaction score
1,565
Mpaka sasa Waziri mwenye dhamana na Afya za Watanzania amethibitisha kifo cha mtu mmoja na baadhi ya watu kujeruhiwa.

Tunamshukuru Mungu japo kwa uchache huo. Vyovyote itakvyoelezwa Wahusika wawajibike, kwa namna hamasa ilivyokuwa na watu kuingia bure, ilitakiwa mageti ya kuingilia uwanjani yawe wazi toka saa kumi na mbili ili mashabiki wakifika wapitilize moja kwa moja.

Mmekusanya mashabiki ambao wanaingia bure, hakuna namna ingewekana kuwadhibiti mashabiki, kumekuwa na poor planning kwa Wahusika. Mmehatarisha Usalama wa watu wengi kwa mashabiki kuingia bila kukaguliwa baada ya wengine kuvamia geti.

Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na Wadau wengine wamewazesha Watanzania kwa nunua tiketi ili mashabiki waweze kwenda kwa wingi, Mamlaka za mpira tumewaungusha kwa kushindwa kuweka mikakati iliyo nyoka.

Karibu sana Kaka yangu mkuu wa mkoa Dar Es Salaam.

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan

Mungu ibariki Tanzania.
 
Mkuu STALIN J V TFF ndio Wasimamizi wa mpira wa miguu, hivyo hawawezi kukwepa katika hili
TFF ni easy target mkuu, tunawaonea wakati mwingine.
Wala wahahusiki moja kwa moja kwenye hili.
Yes wanahusika ila before TFF.
Vipi umewalaumu Team mwenyeji?
Umewalaumu Wamiliki wa Uwanja?
Umewalaumu watu wa Usalama?
Hao wote wanatakiwa kubeba lawama before hujafika TFF.

TFF sio waliosema watu waende bure.......
TFF hawahusiki na usalama ( serikali ).
TFF sio wamiliki wa uwanja kwamba wafungue mageti.

Tunawaonea sababu hawawezi jibu........
 
Alafu huu upuuzi wa watu kuingia ndio unafanya tunafungwa hizi mechi muhimu.
Wacha watu wanunue ticket bwana. Wapenzi wa mpira wa ukweli atajibana ili akaangalie mechi sasa hapo unakaribisha wenye roho mbaya ndio maana mechi zinakuwa ngumu
 
TFF ni easy target mkuu, tunawaonea wakati mwingine.
Wala wahahusiki moja kwa moja kwenye hili.
Yes wanahusika ila before TFF.
Vipi umewalaumu Team mwenyeji?
Umewalaumu Wamiliki wa Uwanja?
Umewalaumu watu wa Usalama?
Hao wote wanatakiwa kubeba lawama before hujafika TFF.

TFF sio waliosema watu waende bure.......
TFF hawahusiki na usalama ( serikali ).
TFF sio wamiliki wa uwanja kwamba wafungue mageti.

Tunawaonea sababu hawawezi jibu........
Ni kweli STALIN J V usemacho kuwa jambo hili kuna watu wengi, huwezi kwenda kumlaumu timu mwenyeji kabla ya mwenye dhamana ya mpira huo, TFF ndio walitakiwa kujua mageti yako wazi toka saa ngapi, Watu wa Usalama wamefika on time etc...japo sipingani nawe kuwa KUU ya mkoa wa Dar Es Salaam nayo ina nafasi yake katika hili.
 
Alafu huu upuuzi wa watu kuingia ndio unafanya tunafungwa hizi mechi muhimu.
Wacha watu wanunue ticket bwana. Wapenzi wa mpira wa ukweli atajibana ili akaangalie mechi sasa hapo unakaribisha wenye roho mbaya ndio maana mechi zinakuwa ngumu
Mkuu mzabzab malengo yalikuwa mazuri kabisa, lakini nafikiri tuna muda wa kujifunza , Tanzania bado tuwachanga kwenye mpira japo tunapiga hatua kubwa saaana kutoka na uwekezaji mkubwa unaofanyika kutoka kwa Wadau na Juhudi za makusudi za Serikali
 
Ticket za bure wangeweka utaratibu zinagawiwa vipi.

Na kungekuwa na masharti moja wapo ni uvaaji wa jezi za Yanga. Hapa GSM angepata hela indirectly.

Pia ingesaidia kupata mashabiki wa Yanga kweli.. maana nina uhakika wengi walioenda kwa tiket za bure ni mashabik maandazi mtu hana cha kufanya nyumbani anaenda huko.

Mechi za hivyo kwa wanaojielewa huwa hawaend uwanjani ni kutafuta kufa au kuibiwa.
 
Mpaka sasa Waziri mwenye dhamana na Afya za Watanzania amethibitisha kifo cha mtu mmoja na baadhi ya watu kujeruhiwa.

Tunamshukuru Mungu japo kwa uchache huo. Vyovyote itakvyoelezwa Wahusika wawajibike, kwa namna hamasa ilivyokuwa na watu kuingia bure, ilitakiwa mageti ya kuingilia uwanjani yawe wazi toka saa kumi na mbili ili mashabiki wakifika wapitilize moja kwa moja.

Mmekusanya mashabiki ambao wanaingia bure, hakuna namna ingewekana kuwadhibiti mashabiki, kumekuwa na poor planning kwa Wahusika. Mmehatarisha Usalama wa watu wengi kwa mashabiki kuingia bila kukaguliwa baada ya wengine kuvamia geti.

Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na Wadau wengine wamewazesha Watanzania kwa nunua tiketi ili mashabiki waweze kwenda kwa wingi, Mamlaka za mpira tumewaungusha kwa kushindwa kuweka mikakati iliyo nyoka.

Karibu sana Kaka yangu mkuu wa mkoa Dar Es Salaam.

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan

Mungu ibariki Tanzania.
acha majinga yafe. badala ya kufia kulikomboa taifa kutokana na wakoloni weusi wetu, yanafia mipira
 
Mpaka sasa Waziri mwenye dhamana na Afya za Watanzania amethibitisha kifo cha mtu mmoja na baadhi ya watu kujeruhiwa.

Tunamshukuru Mungu japo kwa uchache huo. Vyovyote itakvyoelezwa Wahusika wawajibike, kwa namna hamasa ilivyokuwa na watu kuingia bure, ilitakiwa mageti ya kuingilia uwanjani yawe wazi toka saa kumi na mbili ili mashabiki wakifika wapitilize moja kwa moja.

Mmekusanya mashabiki ambao wanaingia bure, hakuna namna ingewekana kuwadhibiti mashabiki, kumekuwa na poor planning kwa Wahusika. Mmehatarisha Usalama wa watu wengi kwa mashabiki kuingia bila kukaguliwa baada ya wengine kuvamia geti.

Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na Wadau wengine wamewazesha Watanzania kwa nunua tiketi ili mashabiki waweze kwenda kwa wingi, Mamlaka za mpira tumewaungusha kwa kushindwa kuweka mikakati iliyo nyoka.

Karibu sana Kaka yangu mkuu wa mkoa Dar Es Salaam.

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan

Mungu ibariki Tanzania.
Upuuzi wa wanasiasa kuigiza siasa katika kila jambo. Kwanza sikuona mantiki ya kuwanunulia watu tiketi, huo ni upuuzi tu. Pili wanasiasa wanatumia kila nafasi kujitangaza, nimeona mapicha na majezi yenye picha za rais Samia, sijui hizo picha zingesaidia je ushindi wakati wanajua wanachama na wapenzi wa Yanga ni kutoka katika vyama mbalimbali vya siasa. Ndio maana mbunge Msukuma anawadharau sana wasomi wa kitanzania
 
Pole kwa wafiwa.

Mshairi wa Kirumi Juvenal alisema, kuwatawala watu masikini wasio elimu ni rahisi sana, wape mkate (chakula cha chini kabisa enzi za Warumi) na maonesho ya michezo (circuses).

Naona serikali yetu inafuatisha maonibya Juvenal, tena tunapewa sarakasi bila mkate.

Mimi nilisema hizi habari za serikali kununua tiketi zitakuja na unintended consequences.

Tunaanza kuona.
 
Back
Top Bottom