Mkuu umepatwa na nn?Pasingekuwepo kifo low classes tungeumia sana, wenye mamlaka ni full kujisahau, wananyang'anya hata kile kidogo apatacho asiyenacho.
Mungu muumba mbingu na nchi hakika haufananishwi na kitu kingine, uliona mbali. Kifo ni haki iliyosawa na isiyoyumba au kubagua, humfikia kilammoja na wakati wake.[emoji120]
Ehee tunapata na sisi hivi kwahyo tuko pamoja kwenye shida na rahaNimewaza tu watu tunavyopata shida ivi kiuchumi na wao wenye mamlaka ni hivihivi au?
kanyang'anywa kidogo alicho nacho....Mkuu umepatwa na nn?
Eheeeee na sisi tunashida kubwa kubwa hila sio kama za maji na umeme kupanda vitu sio kivile hila kuna wakati tunaona vitu bei ni rahisi si shida yetu kubwa labda nikose tender fulani dili limebuma hapo utakuta nimejifungia naliaHivi tukilia maji nanyi ni vivyo hivyo? Umeme ni vivyohivyo? Vitu kupanda bei ovyoovyo nanyi mnaangaikia pesa vivyohivyo?
Atulie Tu anyikung'ute kama kuku maisha mengine yaendeleekanyang'anywa kidogo alicho nacho....
KumbeEheeeee na sisi tunashida kubwa kubwa hila sio kama za maji na umeme kupanda vitu sio kivile hila kuna wakati tunaona vitu bei ni rahisi si shida yetu kubwa labda nikose tender fulani dili limebuma hapo utakuta nimejifungia nalia
Pole mpenzi lakini unauhakika wa kula mchana?Yeah,sure yaan.
Upo,ratiba nilishapanga since night ivo inaserereka tu.....tatizo vifaa vya wanafunzi vipo ghari sasa,na kesho mwanangu shule...khaa...ndo maana nikaibuka na thread maana wenyewe hawana shida😏Pole mpenzi lakini unauhakika wa kula mchana?
Hakuna ugumu wa moja kwa moja ndani ya chama hikihiki mkuu? AuJapo kifo kinauma sana lakini kinaleta usawa fulani hivi.
Japo kifo kwa upande wa dini ni kama adhabu , lakini I'm sure kwa aina ya maisha na wanadamu tulivyo sasa hivi na ubinafsi huu kama kusingekuwa na kifo maisha yangekuwa mabaya sana
Yote ya yote pole mleta mada , be calm, hakuna wakati mgumu moja kwa moja.
Naam, huwezi kuamini hata jehanamu ya mbinguni hatuta kaa milele, hakuna mateso yasiyo na kikomo.Hakuna ugumu wa moja kwa moja ndani ya chama hikihiki mkuu? Au