Tunasubiri kwa hamu pambano la Twaha 'Kiduku' na Dullah 'Mbabe'

Nafikiri wapo kwenye uzito sawa, welterweight kama sijakosea.
Hawajawahi kukutana !!?? Wapambanishwe kubabanye anadharau huyu mwakinyo sio wa kumwambia matumla hajafanya kitu zaidi ya kuvaa misuruali mikubwa Kama tupac ... Labda sababu alikuwa mtoto sana ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…