Tunasubiri tuone F35 zinazokwenda kulipiza kisasi Yemen zitapita wapi kesho

Tunasubiri tuone F35 zinazokwenda kulipiza kisasi Yemen zitapita wapi kesho

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Benjamin Netanyahu amezidi kukasirishwa na usugu wa kimapigano wa Houth ambao hawana hofu kabisa kulenga shabaha maeneo nyeti ya Israel.
Bila shaka masaa machache yajayo dunia inaweza ikashuhudia hali ya mabadiliko makubwa yaliyotokana na vita vya Gaza na ukaidi wa Netanyahu aliyekaidi ushauri wa kusitisha vita kutoka kwa wananchi wake na viongozi mbali mbali wa dunia.

Houth kwa kujiamini kwao kupambana na taifa linalosifiwa ni kubwa kiulinzi bila shaka wamejiandaa zaidi kupokea kipigo na wao kujibu kwa nguvu zaidi.

Kuna uwezekano pia Houth wameshajipanga na wenzao kusaidian katika kujibu mapigo ya Israel.Kilichobaki ni kujua tu wapi makombora ya Israel yatapitia na nani watakaosaidia kuruhusu mashambulizi hayo ya Israel.

Inaaminika Houth wameshahodhi makombora aina waliyotumia leo kadhaa kwenye hazina zao chini ya milima.
1726411735843.png
 
Taifa la Mungu lilifikir waajemi akili kisoda waanzishe vita mwisho wa siku Iran iangamizwe na Us, Uk na France mwisho wa siku wameuchuna wanapigana na Israel kwa Proxy war...patamu sana😆
Hatuna shaka hivyo vitu vinatoka Iran na yawezekana vinapitia Oman kuwafikia Houth.
Iran alipokaa kimya kulipiza kisasi cha Ismael Haniye watu waliamini ndio basi.
 
Benjamin Netanyahu amezidi kukasirishwa na usugu wa kimapigano wa Houth ambao hawana hofu kabisa kulenga shabaha maeneo nyeti ya Israel.
Bila shaka masaa machache yajayo dunia inaweza ikashuhudia hali ya mabadiliko makubwa yaliyotokana na vita vya Gaza na ukaidi wa Netanyahu aliyekaidi ushauri wa kusitisha vita kutoka kwa wananchi wake na viongozi mbali mbali wa dunia.

Houth kwa kujiamini kwao kupambana na taifa linalosifiwa ni kubwa kiulinzi bila shaka wamejiandaa zaidi kupokea kipigo na wao kujibu kwa nguvu zaidi.

Kuna uwezekano pia Houth wameshajipanga na wenzao kusaidian katika kujibu mapigo ya Israel.Kilichobaki ni kujua tu wapi makombora ya Israel yatapitia na nani watakaosaidia kuruhusu mashambulizi hayo ya Israel.

Inaaminika Houth wameshahodhi makombora aina waliyotumia leo kadhaa kwenye hazina zao chini ya milima.
Watakao piga ni US na UK afu watasema Israel kalipa kisasi 😄 Ikiwa US na UK wamepiga Yemen mpaa wamechoka hawapati target wakaishia kupiga matank ya mafuta. Israel na US na UK wanapenda waonyeshe bollywood movie, eti Israel kapiga na moto unawaka mkubwa vichaa kweli hawa.

Uislam unakatakaza kuwauwa civilian ndio mana Hezbullah na Al Houth wanapigana vita vya adabu wanapiga military base, lakini siku za mbele Israel akizidi kucross redline lazima tutakula wali mweupe na mafuta ya kondoo 😄

View: https://youtube.com/shorts/Ue-tyFWeuqI?si=5U6xOZTYEeatRl1P
 
Benjamin Netanyahu amezidi kukasirishwa na usugu wa kimapigano wa Houth ambao hawana hofu kabisa kulenga shabaha maeneo nyeti ya Israel.
Bila shaka masaa machache yajayo dunia inaweza ikashuhudia hali ya mabadiliko makubwa yaliyotokana na vita vya Gaza na ukaidi wa Netanyahu aliyekaidi ushauri wa kusitisha vita kutoka kwa wananchi wake na viongozi mbali mbali wa dunia.

Houth kwa kujiamini kwao kupambana na taifa linalosifiwa ni kubwa kiulinzi bila shaka wamejiandaa zaidi kupokea kipigo na wao kujibu kwa nguvu zaidi.

Kuna uwezekano pia Houth wameshajipanga na wenzao kusaidian katika kujibu mapigo ya Israel.Kilichobaki ni kujua tu wapi makombora ya Israel yatapitia na nani watakaosaidia kuruhusu mashambulizi hayo ya Israel.

Inaaminika Houth wameshahodhi makombora aina waliyotumia leo kadhaa kwenye hazina zao chini ya milima.
Ila msianze kulia pray to yemen
 
Unawapangia siku ya kuibuka?
Huyo bahasha ako Netanyahu akijichanganya, watu wanatatua marinda kabisa, maana sasa hivi wanampapasa tu makalio kuona kama kweli anamshawasha au anapretend.
Mliwahi kumtafuna lini mbona ni wafia dini ndio wanaliaga
 
Kiboko
Benjamin Netanyahu amezidi kukasirishwa na usugu wa kimapigano wa Houth ambao hawana hofu kabisa kulenga shabaha maeneo nyeti ya Israel.
Bila shaka masaa machache yajayo dunia inaweza ikashuhudia hali ya mabadiliko makubwa yaliyotokana na vita vya Gaza na ukaidi wa Netanyahu aliyekaidi ushauri wa kusitisha vita kutoka kwa wananchi wake na viongozi mbali mbali wa dunia.

Houth kwa kujiamini kwao kupambana na taifa linalosifiwa ni kubwa kiulinzi bila shaka wamejiandaa zaidi kupokea kipigo na wao kujibu kwa nguvu zaidi.

Kuna uwezekano pia Houth wameshajipanga na wenzao kusaidian katika kujibu mapigo ya Israel.Kilichobaki ni kujua tu wapi makombora ya Israel yatapitia na nani watakaosaidia kuruhusu mashambulizi hayo ya Israel.

Inaaminika Houth wameshahodhi makombora aina waliyotumia leo kadhaa kwenye hazina zao chini ya milima.
Kiboko ya ICBM ni david's sling poleni wa houthi wa kimbangulile.
 
Back
Top Bottom