Tunasubiri tuone F35 zinazokwenda kulipiza kisasi Yemen zitapita wapi kesho

Tunasubiri tuone F35 zinazokwenda kulipiza kisasi Yemen zitapita wapi kesho

Kiboko

Kiboko ya ICBM ni david's sling poleni wa houthi wa kimbangulile.
Ndivyo unavyojidanganya kijana??
ICBM asilimia kubwa ni impossible kuzidungua kulingana na uwezo wake wa kasi kubwa na hasa ikiwa ni high precision guided missile,huwa ina uwezo wa kuikwepa intercepter.
Na hayo makombora Iran anayo.
 
Ndivyo unavyojidanganya kijana??
ICBM asilimia kubwa ni impossible kuzidungua kulingana na uwezo wake wa kasi kubwa na hasa ikiwa ni high precision guided missile,huwa ina uwezo wa kuikwepa intercepter.
Na hayo makombora Iran anayo.
Katengenezewa na Mungu? Humu kuna watu ni mashabiki maandazi sana
 
Watakao piga ni US na UK afu watasema Israel kalipa kisasi šŸ˜„ Ikiwa US na UK wamepiga Yemen mpaa wamechoka hawapati target wakaishia kupiga matank ya mafuta. Israel na US na UK wanapenda waonyeshe bollywood movie, eti Israel kapiga na moto unawaka mkubwa vichaa kweli hawa.

Uislam unakatakaza kuwauwa civilian ndio mana Hezbullah na Al Houth wanapigana vita vya adabu wanapiga military base, lakini siku za mbele Israel akizidi kucross redline lazima tutakula wali mweupe na mafuta ya kondoo šŸ˜„

View: https://youtube.com/shorts/Ue-tyFWeuqI?si=5U6xOZTYEeatRl1P

Duuh umejibu ka vile hiyo vita inakuhusu yani.wabongo mpo jasiri sana.
 
Kile kipigo cha siku ile pale bandarini ndio wameibuka leo?

Subiri sasa israel iwawahishe kwa Allah kujilia mabikra
Majamaa wehu sana aisee yaani yanatafuta ugombi kwa nguvu zote mwishowe wanaishi kurusha vikombora vinaishia maporini Kisha wao wanalipa gharama kubwa kuliko .
 
Majamaa wehu sana aisee yaani yanatafuta ugombi kwa nguvu zote mwishowe wanaishi kurusha vikombora vinaishia maporini Kisha wao wanalipa gharama kubwa kuliko .
ukipigan na mtu ambaye ni sugu yaani hajali maumivu basi jitayarishe na aibu.
 
Benjamin Netanyahu amezidi kukasirishwa na usugu wa kimapigano wa Houth ambao hawana hofu kabisa kulenga shabaha maeneo nyeti ya Israel.
Bila shaka masaa machache yajayo dunia inaweza ikashuhudia hali ya mabadiliko makubwa yaliyotokana na vita vya Gaza na ukaidi wa Netanyahu aliyekaidi ushauri wa kusitisha vita kutoka kwa wananchi wake na viongozi mbali mbali wa dunia.

Houth kwa kujiamini kwao kupambana na taifa linalosifiwa ni kubwa kiulinzi bila shaka wamejiandaa zaidi kupokea kipigo na wao kujibu kwa nguvu zaidi.

Kuna uwezekano pia Houth wameshajipanga na wenzao kusaidian katika kujibu mapigo ya Israel.Kilichobaki ni kujua tu wapi makombora ya Israel yatapitia na nani watakaosaidia kuruhusu mashambulizi hayo ya Israel.

Inaaminika Houth wameshahodhi makombora aina waliyotumia leo kadhaa kwenye hazina zao chini ya milima.
Leo Wayemeni wametangaza kudondosha MQ 9 drone ya Wamarekani.
. Hizo habari kuzipata main stream media ni mwiko.
 
Safari hii ameufyata kwanza.
Hapo zamani alipowadharau Houth ilikuwa ni jino kwa jino.
Ameufyata vipi PM keshasema "They will pay a heavy price" tusubiri tuone maana Netanyau Huwa hatoi matamko bila kuambatana na vitendo.
 
Hukumbuki ilivyotokea baada ya Iran kuzirusha icbm mpata Tel Aviv kwa mara ya mwanzo ?
Rais na Wazir wa mambo nje wa Iran wakat nchi yao inaishambulia Israel wako wapi sasa hivi?
 
Rais na Wazir wa mambo nje wa Iran wakat nchi yao inaishambulia Israel wako wapi sasa hivi?
Ilikuwa ni ajali ya kawaida.Ingekuwa Israel ilihusika wangekuwa wameshajisifu ili kuendeleza vitisho.
 
Back
Top Bottom