Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir

Kelele zimepigwa sana. Kwa hakika zimesikika. Katokea Msigwa eti kutaka utulivu huku tozo zikiendelea.

Kelele za kudai haki nazo zimeendelea kusikika huku zikiangukia kwenye masikio yaliyoziba.

Ni nani aliye mgeni wa vilio hivi? Ni Samia, Majaliwa, Juma au Tulia? Tuende wapi kumbe?

"Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe!" -- Ben Mkapa.

Tukutane Tahrir.

"Aminini nawaambia, yote tuyatakayo yatatimizwa (to a ruler) punde tu watakaposikia safari yetu kuelekea Tahrir imewiva!"
kwanza sheria ya kulinda maslah na mamlaka makubwa ya kiongozi yapunguzwe,na wao walipe kodi zaidi kuliko sisi wa hali ya chini.Wanafanya haya kwakuwa wao hawalipi kodi.Wanasahau kuna maskini wenzetu wanatumia buku kutwa.Viongozi kuanzia wabunge kwenda juu muogopeni mungu mtakufa na laana za kuwanyonya masikini.
 
Jeshi la police na mahakama ndiyo chanzo cha uonevu wote huu.
 
Hakuna mahali vitu Kama hivi vilipatikana bila kumwaga damu/Jihadi. Kuna mifano mingi. Lazima watu wafe ndio watawala itawaingia akilimi. Uko sahihi kabisa hakuna Katiba Mpya wa tume huru kwa CCM.
Maendeleo yanaonekana chini ya Rais Samia Suluhu hatuna hizo tozo unazozipinga kwa nguvu zote ni kwaajili ya maendeleo yako wewe mwenyewe
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Sisi wananchi Ni wanafki sanaa, Sisi tuliwah kuwaambia wapinzani wanapinga kila kitu
 
kwanza sheria ya kulinda maslah na mamlaka makubwa ya kiongozi yapunguzwe,na wao walipe kodi zaidi kuliko sisi wa hali ya chini.Wanafanya haya kwakuwa wao hawalipi kodi.Wanasahau kuna maskini wenzetu wanatumia buku kutwa.Viongozi kuanzia wabunge kwenda juu muogopeni mungu mtakufa na laana za kuwanyonya masikini.
Kamati hiyo ya Bajeti inaundwa na wabunge wafuatao ili watanzania tuwafahamu kwa majina yao na majimbo yao wanayotoka kuliko kuendelea kumlaumu Rais ambaye hahusiki na jambo lolote.

1. Mhe. Sillo Daniel Baran- Mwenyekiti wa Kamati
2. Mhe. Omari Mohamed Kigua- Makamu Mwenyekiti
3. Mhe. Ali Hassan Omar King
4. Mhe. Oran Manase Njenza
5. Mhe. Josephat Sinkamba Kandege
6. Mhe. Leah Jeremiah Komanya
7. Mhe. Issa Jumanne Mtevu
8. Mhe. Joseph George Kakunda
9. Mhe. Shally Josepha Raymond
10. Mhe. Subira Hamis Mgalu
11. Mhe. Ester Nicolaus Matiko
12. Mhe. Jonas William Mbunda
13. Mhe. Mariam Madalu Nyoka
14. Mhe. Juma Hamad Omar
15. Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo
16. Mhe. Tarimba Gulam Abbas
17. Mhe. Amina Iddi Mabrouk
18. Mhe. Riziki Said Lulida
19. Mhe. Halima James Mdee
20. Mhe. Zaytun Seif Swai
21. Mhe. Dk. Charles Kimei
22. Mhe. Shamsi Vuai Nahodha
23. Mhe. Mariam Nassor Kisangi
 
Ndio ujue Watanzania wanapenda amani

Vinginevyo hata wewe usingejificha
Kwani anayevunja amani ni raia au polisi wafia CCM? Kwa nchi zenye demokrasia watu wakiandamana inatafutwa sababu ya wao kuandamana wanakaa katika maridhiano na serikali. Kero inaondoshwa ila sasa hapa kwetu ukidai haki yako dhidi ya watawala wanakugeuza punching bag. Watakudunda ikibidi hata wakuue tu ili kumfurahisha alieko Magogoni.
 
Watanzania huwa ni mbwa koko tu na hili viongozi wanalikua ndio maana wanakanyaga twende kila siku.
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Sisi wananchi Ni wanafki sanaa, Sisi tuliwah kuwaambia wapinzani wanapinga kila kitu

Hao wananchi unaowarejea hapo ni hawa hawa waliokomaa na Lissu JKNIA, Kiluvya na hata kupokea virungu kwenye kumwombea tahfifu alipokuwa hospitali?

Ni hawa hawa waliochanga mamilioni kwa muda mfupi kuwanusuru wakiwamo kina Halima, Bulaya, Mashinji nk na kifungo? Nk nk?

Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi

Hivi kweli, hatuwezi kuwatofautisha wananchi na walamba asali?
 
Back
Top Bottom