Tunataka Tume huru ya Uchaguzi

Tunataka Tume huru ya Uchaguzi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1613803765300.png
 
Hili ni hitaji la wazi na nimependa aina hiyo ya kufikisha ujumbe. Inatakiwa zitengenezwe t-shirt na kuweka vipeperushi nchi nzima ili kuweka public awareness ya jambo hili. Ujumbe Uwe hakuna kushiriki uchaguzi wowote bila tume huru ya uchaguzi, na viongozi wote wa chaguzi hizi za kihuni ni batili.
 
Hili ni hitaji la wazi na nimependa aina hiyo ya kufikisha ujumbe. Inatakiwa zitengenezwe t-shirt na kuweka vipeperushi nchi nzima ili kuweka public awareness ya jambo hili. Ujumbe Uwe hakuna kushiriki uchaguzi wowote bila tume huru ya uchaguzi, na viongozi wote wa chaguzi hizi za kihuni ni batili.
Ikishapatikana mtapata nini kipya? Mwamba atawavusha?
 
Huu wimbo wenu nimeusikia toka enzi za Jakaya.
 
Huko Usa ambako wanadai katiba yao ipo vizuri watu wanapata haki 100%?

Hakuna mahali tunatarajia kupata haki kwa 100% hapa duniani, bali tunazungumzia haki kwa maana ya haki. Kama katiba ya US ingekuwa kama hii ya Tanzania, basi Trump angefanikiwa juzi kuendelea kuwa rais kwa kutumia madaraka yake.
 
Kwa hiyo kama kuna tume huru na katiba mpya msipoweka mgombea mnapita bila kupingwa?
Hakuna kupita bila kupingwa kwenye nchi ya kidemokrasia, mgombea akiwa mmoja anapigiwa kura na wananchi kumkubali au kumkataa. Mtu anakuwaje mwakikishi wa wananchi Kwa kuteuliwa na Tume?
 
Hakuna kupita bila kupingwa kwenye nchi ya kidemokrasia, mgombea akiwa mmoja anapigiwa kura na wananchi kumkubali au kumkataa. Mtu anakuwaje mwakikishi wa wananchi Kwa kuteuliwa na Tume?
Darasa la ngapi umeishia?
 
Back
Top Bottom