Tunataka Tume huru ya Uchaguzi

Tunataka Tume huru ya Uchaguzi

Mpiga picha hajatundea haki kabisa, tukio lirudiwe. 😊
 

Mkuu tume huru na hata katiba mpya ni muhimu sana.

Hata hivyo hapa tulipo tuko karibu mno na kifo kuliko wakati mwingine wowote.

Waswahili wanasema "ukiona mwenzako ananyolewa ...."

Ni muhimu zaidi kwa sasa kudai haki yetu ya kuishi kwa vitendo.

Tusisahau katika kutapatapa tusishangae kurushiwa mifupa mitupu hata yakiwamo mazungumzo kwa ajili ya katiba mpya na hata tume huru.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kipya tutakachokipata ni haki.
Mtakapoacha unafiki wa kudandia dandia mambo na kuwa na msimamo wa jambo moja mkaepuka uchumia tumbo Katiba mpya na tume huru mtaipata ila kwa unafiki huu wa watanzania acha wawaburuze tu wanavyotaka
 
Mkuu tume huru na hata katiba mpya ni muhimu sana.

Hata hivyo hapa tulipo tuko karibu mno na kifo kuliko wakati mwingine wowote.

Waswahili wanasema "ukiona mwenzako ananyolewa ...."

Ni muhimu zaidi kwa sasa kudai haki yetu ya kuishi kwa vitendo.

Tusisahau katika kutapatapa tusishangae kurushiwa mifupa mitupu hata yakiwamo mazungumzo kwa ajili ya katiba mpya na hata tume huru.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Tukiacha unafiki yote yanawezekana
 
Mtakapoacha unafiki wa kudandia dandia mambo na kuwa na msimamo wa jambo moja mkaepuka uchumia tumbo Katiba mpya na tume huru mtaipata ila kwa unafiki huu wa watanzania acha wawaburuze tu wanavyotaka

Mkuu rudi shule ukajifunze kuandika kwa kuweka koma na nukta, uzuri sasa hivi elimu ni bure, hivyo hamna kisingizio.
 
Mkuu rudi shule ukajifunze kuandika kwa kuweka koma na nukta, uzuri sasa hivi elimu ni bure, hivyo hamna kisingizio.
Nitajificha kwenye kichaka cha uzee nisamehe tu kijana umri umeenda
 
Tukiacha unafiki yote yanawezekana

Mkuu tatizo kubwa ni unafiki. Kupisha huo bora kukomaa vilivyo na yale ambayo yatahakikisha kesho tupo.

Tukiacha unafiki kukwambia ukweri maana msema kweri mpenzi wa Mungu - wanayo furaha sana kwamba Maalim hayupo tena.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom