Tunatengeneza na Kudesign logo, Business card, Websites Pamoja na Android Application

Tunatengeneza na Kudesign logo, Business card, Websites Pamoja na Android Application

Get your Professional Email today! Starting At Only TZS 4,000/mo*
 
Reliable Web Hosting and, .tz, .com Domain registration Company in Tanzania . We guarantee 99% availability with great Support.
 

Custom Web Design​

Our web design company in Tanzania gives amazing visual design with enchanting typography keeping in mind target audience. This makes our quality design strike the right chords.
 
Tumetoa punguzo la bei hadi 50%, kutoka 400,000/= paka 200,000/=. Hili kila mfanyabiashara aweze kuafford na kumiliki biashara yake kisasa zaidi.
 
Nembo ya Biashara (Logo) ni nini na inamsaidia vipi mfanyabiashara/mjasiriamali?

Kwa tafsiri rahisi, nembo ni alama zinazoundwa na maandishi na picha ambazo zinatusaidia kutambua bidhaa au huduma tunayopenda kwa kuwasaidia wateja kuelewa nini unachofanya, wewe ni nani na unaamini nini na matarajio yako ni yapi.

Kuna umuhimu mkubwa wa mfanyabiashara au mjasiriamali kumiliki au kuwa na nembo ya biashara.

Unaweza kuwa na biashara nzuri tu ya utoaji huduma au bidhaa lakini watu wasivutike na biashara yako wakaenda sehemu nyingine kununua kwa sababu tu wamependezwa na nembo ya mfanyabiashara mwenzako kutokana na dhima au ujumbe uliopo.

Kwanini unashauriwa kumiliki au kuwa na nembo ya biashara?

Nembo ya biashara ni utambulisho wako. Kitu kitakachoitambulisha biashara yako au huduma yako bila kujali kama ni bidhaa iko katika uzito au ujazo gani na kama ni huduma haitajalisha inatolewa sehemu gani ni nembo. Nembo inatengeneza hisia, fikra, mwamko na hamasa ya kununua huduma au bidhaa kwa mteja. Kwa mfano ni kawaida kusikia mtu akisema nimeona matangazo ya kampuni fulani kwani imefika hadi huku? Mara nyingi kitu cha kwanza kujiuliza itakuwa ni nembo ya kampuni au biashara.

Nembo inasaidia kuonyesha umaridadi na ufanisi wa kampuni. Kampuni yoyote yenye kuhitaji kufanya kazi kwa ufanisi lazima iwe na logo (nembo). Nembo inasaidia kuonyesha uthubutu na umakini wa kampuni au biashara ambayo yaweza kuwa ni ya utoaji huduma au uzalishaji wa bidhaa.

Nembo inabeba ujumbe wa biashara yako. Ujumbe ni muhimu katika nembo yako kwa sababu inabeba kile ambacho kampuni yako inafanya. Ujumbe mara nyingi huwa ni wenye mvuto na utakaowafanya wateja wako kuvutika na kuja kuhudumiwa au kununua bidhaa zako- Mathalani unamiliki duka la mapambo linaitwa “Mwanamapambo” Kisha ukaweka ujumbe huu “ Unajenga tunakusaidia kupamba” Ujumbe tu umeshabeba kile unachokifanya ambacho ni uuzaji wa mapambo mtu hatokuwa na haja ya kuja kuuliza duka lako linahusiana na mapambo ya aina gani.

Nembo inasaidia kuonyesha umiliki. Nembo ni moja kati ya alama zinazoonyesha umiliki wa biashara kwa sababu nembo hubeba jina la kampuni au mmiliki wa kampuni. Mfano Azam, Kiluswa Company Limited, Kafulusu Enterprises na mengineyo. Majina hayo yanaonyesha mmiliki wa kampuni ni nani.

Nembo inasaidia kuonyesha matarajio ya biashara. Nembo inasaidia kubeba maono na muelekeo wa biashara yako na hasa kwa kuwaonyesha wateja watarajie nini huko mbele kutokana na huduma au bidhaa unazotoa. Hii inasaidia biashara yako kuwa na ushindani dhidi ya kampuni nyingine zinazotoa huduma kama yako. Mfano kampuni za mawasiliano. Maneno kama “Yajayo yanafurahisha! Uko tayari” yanasaidia kuwafanya wateja wa kampuni kuendelea kusubiria mambo mazuri ambayo kampuni yao imewaahidi.

Nembo ya biashara (logo) ina umuhimu mkubwa katika kutambulisha biashara sokoni hivyo ni vema mfanyabiashara au mjasiriamali kuwa na logo kwa sababu itakusaidia kujitofautisha na wafanyabiashara wengine wanaofanya biashara kama yako. Nembo inasaidi sana kuonyesha uthamani wa biashara unayoifanya.
 

Software Development​

We offering a full range of custom software development services for a wide variety of verticals and business domains. Whether you are a start-up or an established business, we will be happy to assist you at any and every stage of the software development life cycle: from conceptualization, business analysis and prototyping to the development and deployment of a complete solution.
 
Find the cheap and reliable Web Hosting Package, Bulk SMS and .tz domain registration for your business. Contact Us: 0711414246 / 0621454246
 

Je, una wazo?​

Sajili jina la tovuti yako ya .TZ pamoja na vifurushi vipya kuanzia Shillingi 4,000* kwa mwezi tu!
 
Jibebe Digital Agency tunawatakia Jumapili njema, Bila kusahau kazi na huduma bado zinaendelea usisite kuwasiliana nasi.
 
Nembo inasaidia kuonyesha matarajio ya biashara. Nembo inasaidia kubeba maono na muelekeo wa biashara yako na hasa kwa kuwaonyesha wateja watarajie nini huko mbele kutokana na huduma au bidhaa unazotoa. Hii inasaidia biashara yako kuwa na ushindani dhidi ya kampuni nyingine zinazotoa huduma kama yako. Mfano kampuni za mawasiliano. Maneno kama “Yajayo yanafurahisha! Uko tayari” yanasaidia kuwafanya wateja wa kampuni kuendelea kusubiria mambo mazuri ambayo kampuni yao imewaahidi.

Wasiliana nasi sasa kwa mahitaji ya Logo na huduma zingine. PIGA/ UJUMBE/ WhatsApp: 0711414246 / 0621454246
 
Je unafahamu ni vitu gani huleta uaminifu kwenye biashara. Ukiachana na mahali au eneo la biashara. Tovuti yako itajenga uaminifu kwa kusema, mimi niko hapa, ninamaanisha biashara, na niko kwa muda mrefu.
Kwa kupanga kwa uangalifu, kwa busara na kwa kuangalia mahitaji ya wateja wako, wavuti yako itatoa picha ya kitaalam na kuwapa wateja uwezo mkubwa wanapotembelea, iwe iko kwenye kompyuta zao, tableti au simu.
 
Our website solution is everything you need to get your business online, quickly and effectively. It is a combination of your web address (domain name), email storage solution and a mobile friendly website.
 
Kwanini unashauriwa kumiliki au kuwa na nembo ya biashara?

Nembo ya biashara ni utambulisho wako. Kitu kitakachoitambulisha biashara yako au huduma yako bila kujali kama ni bidhaa iko katika uzito au ujazo gani na kama ni huduma haitajalisha inatolewa sehemu gani ni nembo. Nembo inatengeneza hisia, fikra, mwamko na hamasa ya kununua huduma au bidhaa kwa mteja. Kwa mfano ni kawaida kusikia mtu akisema nimeona matangazo ya kampuni fulani kwani imefika hadi huku? Mara nyingi kitu cha kwanza kujiuliza itakuwa ni nembo ya kampuni au biashara.

Nembo inasaidia kuonyesha umaridadi na ufanisi wa kampuni. Kampuni yoyote yenye kuhitaji kufanya kazi kwa ufanisi lazima iwe na logo (nembo). Nembo inasaidia kuonyesha uthubutu na umakini wa kampuni au biashara ambayo yaweza kuwa ni ya utoaji huduma au uzalishaji wa bidhaa.

Nembo inabeba ujumbe wa biashara yako. Ujumbe ni muhimu katika nembo yako kwa sababu inabeba kile ambacho kampuni yako inafanya. Ujumbe mara nyingi huwa ni wenye mvuto na utakaowafanya wateja wako kuvutika na kuja kuhudumiwa au kununua bidhaa zako- Mathalani unamiliki duka la mapambo linaitwa “Mwanamapambo” Kisha ukaweka ujumbe huu “ Unajenga tunakusaidia kupamba” Ujumbe tu umeshabeba kile unachokifanya ambacho ni uuzaji wa mapambo mtu hatokuwa na haja ya kuja kuuliza duka lako linahusiana na mapambo ya aina gani.

Nembo inasaidia kuonyesha umiliki. Nembo ni moja kati ya alama zinazoonyesha umiliki wa biashara kwa sababu nembo hubeba jina la kampuni au mmiliki wa kampuni. Mfano Azam, Kiluswa Company Limited, Kafulusu Enterprises na mengineyo. Majina hayo yanaonyesha mmiliki wa kampuni ni nani.

Nembo inasaidia kuonyesha matarajio ya biashara. Nembo inasaidia kubeba maono na muelekeo wa biashara yako na hasa kwa kuwaonyesha wateja watarajie nini huko mbele kutokana na huduma au bidhaa unazotoa. Hii inasaidia biashara yako kuwa na ushindani dhidi ya kampuni nyingine zinazotoa huduma kama yako. Mfano kampuni za mawasiliano. Maneno kama “Yajayo yanafurahisha! Uko tayari” yanasaidia kuwafanya wateja wa kampuni kuendelea kusubiria mambo mazuri ambayo kampuni yao imewaahidi.

Nembo ya biashara (logo) ina umuhimu mkubwa katika kutambulisha biashara sokoni hivyo ni vema mfanyabiashara au mjasiriamali kuwa na logo kwa sababu itakusaidia kujitofautisha na wafanyabiashara wengine wanaofanya biashara kama yako. Nembo inasaidi sana kuonyesha uthamani wa biashara unayoifanya.
 
Jibebe Digital Agency imesikitishwa na kifo cha Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli, Tunaungana na wote kwa dua na sala ili mpendwa wetu apumzike kwa amani.
 
NOTE: Gharama zinajumuisha

*Free .co.tz Domain for 1 Year
*Free Hosting for 6 Month
*Free SSL Certificate
*15 Business Email
*Full access cPanel
*Free Support etc.

Pia tunatoa huduma yakusajiri Domain pamoja na Kuhost Website kwa Gharama ya Kuanzia TZS 4,000/= Kwa Mwezi Wasiliana nasi sasa.
 
NOTE: Tovuti itafanya biashara yako iaminike zaidi


Je unafahamu ni vitu gani huleta uaminifu kwenye biashara. Ukiachana na mahali au eneo la biashara. Tovuti yako itajenga uaminifu kwa kusema, mimi niko hapa, ninamaanisha biashara, na niko kwa muda mrefu.
Kwa kupanga kwa uangalifu, kwa busara na kwa kuangalia mahitaji ya wateja wako, wavuti yako itatoa picha ya kitaalam na kuwapa wateja uwezo mkubwa wanapotembelea, iwe iko kwenye kompyuta zao, tableti au simu.
 

Software Development​

We offering a full range of custom software development services for a wide variety of verticals and business domains. Whether you are a start-up or an established business, we will be happy to assist you at any and every stage of the software development life cycle: from conceptualization, business analysis and prototyping to the development and deployment of a complete solution.
 

Nini faida ya Kumiliki Website au Blog Kwa Biashara Yako?​

1. Kuwafikia watu wengi zaidi.
2. Kuvutia wateja makini
3. Kujenga uhusiano wa karibu na wateja.
4. Kufanya biashara moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom