BEITO International Ltd
Member
- Mar 27, 2022
- 18
- 3
Kwa nini utuchague sisi kwa ajili ya kutoa huduma kwako?
i) Kampuni yetu imesajiliwa katika mamlaka za Serikali kama vile BRELA, TRA na Manispaa/Halmashauri husika, hivyo tunatoa huduma bora kwa kuzingatia matakwa yote ya sheria na taratibu za Nchi yetu.
ii) Mojawapo ya sera ya kampuni yetu ni kutoa huduma bora kulingana na matakwa ya mteja. Ikitokea tumetoa huduma chini ya kiwango kinachohitajika, BEITO tutawajibika kukupatia huduma ya ziada kama 'complimentary' ili kufidia kiwango cha ubora uliotakiwa.
iii) Tunao watoa huduma wenye uzoefu mzuri, lugha nzuri na waaminifu. Kipaumbele chetu kikubwa ni kufanya kazi kwa uaminifu mkubwa.
iv) Tunahakikisha tunafanya mawasiliano na mteja wetu kwa haraka na ufasaha zaidi bila kuchelewa wala usumbufu wowote. Sera yetu kuhusu mawasilaino ni kutoa majibu kwa mteja wetu kwa muda usiozidi saa 24 tangu mteja anapowasiliana nasi kwa njia yoyote.
v) Materials tunayotumia yanazingatia utunzaji na uhifadhi wa mazingira.
vi) Tunakagua kazi baada ya kukamilika kujihakikishia kama kazi husika imefanyika katika viwango kama ilivyokusudiwa na mteja wetu.
vii) Gharama zetu ni nafuu na rafiki kwa kila aina ya mteja.
viii) Wajibu wetu si kutoa huduma kwa mteja na kuondoka, bali tunatoa pia ushauri wa kitaalamu bure kutokana na huduma tunayoitoa kwa mteja wetu.
Huduma tunazotoa
i) Usafi wa aina zote wa majumbani, maofsini, kumbi za sherehe, makanisani, kumbi za starehe n.k
ii) Huduma za Fumigation
iii) Huduma za Gardening
Mawasiliano
Mwenge ITV
Dar es Salaam
EMAIL: info@beitoint.co.tz
+255 710 168 999
i) Kampuni yetu imesajiliwa katika mamlaka za Serikali kama vile BRELA, TRA na Manispaa/Halmashauri husika, hivyo tunatoa huduma bora kwa kuzingatia matakwa yote ya sheria na taratibu za Nchi yetu.
ii) Mojawapo ya sera ya kampuni yetu ni kutoa huduma bora kulingana na matakwa ya mteja. Ikitokea tumetoa huduma chini ya kiwango kinachohitajika, BEITO tutawajibika kukupatia huduma ya ziada kama 'complimentary' ili kufidia kiwango cha ubora uliotakiwa.
iii) Tunao watoa huduma wenye uzoefu mzuri, lugha nzuri na waaminifu. Kipaumbele chetu kikubwa ni kufanya kazi kwa uaminifu mkubwa.
iv) Tunahakikisha tunafanya mawasiliano na mteja wetu kwa haraka na ufasaha zaidi bila kuchelewa wala usumbufu wowote. Sera yetu kuhusu mawasilaino ni kutoa majibu kwa mteja wetu kwa muda usiozidi saa 24 tangu mteja anapowasiliana nasi kwa njia yoyote.
v) Materials tunayotumia yanazingatia utunzaji na uhifadhi wa mazingira.
vi) Tunakagua kazi baada ya kukamilika kujihakikishia kama kazi husika imefanyika katika viwango kama ilivyokusudiwa na mteja wetu.
vii) Gharama zetu ni nafuu na rafiki kwa kila aina ya mteja.
viii) Wajibu wetu si kutoa huduma kwa mteja na kuondoka, bali tunatoa pia ushauri wa kitaalamu bure kutokana na huduma tunayoitoa kwa mteja wetu.
Huduma tunazotoa
i) Usafi wa aina zote wa majumbani, maofsini, kumbi za sherehe, makanisani, kumbi za starehe n.k
ii) Huduma za Fumigation
iii) Huduma za Gardening
Mawasiliano
Mwenge ITV
Dar es Salaam
EMAIL: info@beitoint.co.tz
+255 710 168 999