Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu hupatikana baada ya kuchimba kisima na kuwa soft or salinity normally are probabilities 1/3 and not otherwise na kuna sehemu ukichimba zaidi ndipo unapata maji baridi na laini hata Dar.Kuna visima tulichimba 2005-07 Vijimbweni,Mwongozo,Kimbiji,Pemba mnazi na Tundu songani kote mita 800 @1 maji laini mno but zoezi lililenga oil exploration na Wairan Fulani tulifanikiwa vyema KAMWENE!!!Ongeza sauti mkuu
Kamwene mnogeMajibu hupatikana baada ya kuchimba kisima na kuwa soft or salinity normally are probabilities 1/3 and not otherwise na kuna sehemu ukichimba zaidi ndipo unapata maji baridi na laini hata Dar.Kuna visima tulichimba 2005-07 Vijimbweni,Mwongozo,Kimbiji,Pemba mnazi na Tundu songani kote mita 800 @1 maji laini mno but zoezi lililenga oil exploration na Wairan Fulani tulifanikiwa vyema KAMWENE!!!
Nipe datail za kutosha mkuu Kama watanifungia nilipe kidogo dogo nikimaliza nabaki na sola yanguMakampuni ya solar yapo ambayo unalipa kama luku tu
Yule mchaga wa Simba uliwezanaje nae maana Ni bahili sanaUsimalize maneno we mzee...muulize simba hotel hapo dodoma mabalas niliyofanya kwenye kumchimbia kisima
Ni mtata kwelikweli..lakini maelezo ya viwango kuhusu upimaji wetu...akakaa kwa kutulia ..ila ni mgumu sana ku close nae dealYule mchaga wa Simba uliwezanaje nae maana Ni bahili sana
Kampuni ya mysol wanakaribia ku-launch hiyo program ...kwa sasa naona wapo kwenye majaribio ya pump....subiri utaweza. Makampuni yapo Ila kuna changamoto kwenye baadhi ya vifaa vyao.Nipe datail za kutosha mkuu Kama watanifungia nilipe kidogo dogo nikimaliza nabaki na sola yangu
Shukrani mkuuKampuni ya mysol wanakaribia ku-launch hiyo program ...kwa sasa naona wapo kwenye majaribio ya pump....subiri utaweza. Makampuni yapo Ila kuna changamoto kwenye baadhi ya vifaa vyao.
Ukipata muda watembelee kwenye mkoa wako
Unatumia vifaa, kinaitwa reverse osmosis ...vipo vya site tofauti kulingana na mahitaji yako. VinauzwaVipi kama maji ni ya chumvi, kuna utaalamu gani wa kuondoa chumvi hizo iki yatumike na je huo utaalam ni wa kudumu au ni temporary ?
asante Mwagito- nitawatafuta muda si mrefu - nina miradi miwili mikoa miwili tofautiUnatumia vifaa, kinaitwa reverse osmosis ...vipo vya site tofauti kulingana na mahitaji yako. Vinauzwa
Asante nduguKaribu ...yote tutaifanya na tutafanikisha kwa kujali thamani ya pesa yako
Vipi kuna vipimo vya kutambua maji baridi na maji chumvi?Driler mstaafu DDCA nilianza drilling toka mwaka 1972 nawacheki tu vijana mnapeana uzoefu.
NoVipi kuna vipimo vya kutambua maji baridi na maji chumvi?