Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa mingi sana. Ndio maana haukuwa wazi kwenye bei tangu mwanzo. All the best mkuu.Kupima na kuandaa ripoti ya upimaji ni 600,000/= na kuchimba+UPVC ni 80000/1M na kma bila UPVC ni 60/1M.
Karibu mkuu
Boss ukisema mahali ulipo inakuwa rahisi, kwa sababu mtu wa Dar es salaam hawezi kuchimba kwa gharama ya hvo, mfano Dar mtu akiwa na bajet isiyozid 4M kisima kinakamilika kila kitu, wakati mtu aliyepo minjingu hata akiwa na 10M hela inaweza isitoshe. Kwa hiyo ukisema mahali pa kuchimba ndio jibu kamili utapata.Pesa mingi sana. Ndio maana haukuwa wazi kwenye bei tangu mwanzo. All the best mkuu.
Ngoma ikivuma saana.Serikali kutoza pesa kubwa kuliko makampuni ya simu ambayo ndiyo yenye mitambo, inalipa wafanyakazi, inalipa kodi lukuki za serikali inamaanisha nini kwa makampuni hayo? kwa wananchi? Hawajiulizi Mwaka 2007 wailipopandisha motor vehicle licence kutoka 10k hadi 300k, walifanikiwa?