Tunatoa usaidizi na ushauri katika kuagiza gari

Tunatoa usaidizi na ushauri katika kuagiza gari

The BornAgain

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2024
Posts
428
Reaction score
582
Habari wanajamvi,

Nikiwa na passion, uzoefu kiasi ktk mchakato wa kuagiza magari Japan hadi mkononi. Nimedhamiria kama fursa kuleta wazo hapa namna navyoweza kuwasaidia wale wahitaji wa kuagiza magari kutoka nje..ambao pengine wanahitaji usaidizi. Mchakato uko hivi;

1)Tuwasiliane tujadili gari gani, bajeti yako, utayari wako nk
2) Tujadili bei na taratibu za gari ifike mkononi mwako
3) Tutafanya michakato ila kulipa utalipa mwenyewe directly maeneo matatu kwa exporter (Japan) tutakupa invoice yao kwa serikali (ushuru husika) tutakupa assessment na control no, gharama za bandarini nazo tutakupa invoice.

Sisi utatulipa kamisheni tutayokubaliana, ila mchakato wote tutakufanyia sisi na tutawajibika kwenye ushauri wetu..ila utashuhudia kila kitu.

KARIBU.
 
Je kwa Toyota premio 2016.
Bajeti Bei gani?
 

Attachments

  • Screenshot_20240626-104249.png
    Screenshot_20240626-104249.png
    596.2 KB · Views: 19
FORD RANGER

LINCOLN

CADILLAC ESCALADE

CHEVROLET

JEEP WRANGLER

RANGE ROVER STARTECH

nahitaji hayo magari ni Bei gani pamoja na Kodi.
 
FORD RANGER

LINCOLN

CADILLAC ESCALADE

CHEVROLET

JEEP WRANGLER

RANGE ROVER STARTECH

nahitaji hayo magari ni Bei gani pamoja na Kodi.
Ila ilibidi utoe specifications iwe rahisi: hasa mwaka wa gari nk. Hapo juu ni majina general , sio rahis kupata taarifa
 
Mnafanya clearance bandarini au mnatafuta kampuni nyie mnafanya follow-up tu?
 
Naomba bei ya honda crossroad yenye sura ya hammer hadi unaitoa bandarini
 
Back
Top Bottom