mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Tofauti na basketball kuwa mchezo wa watoto wenye malezi bora na wanaothamini elimu ,soccer,football,kandanda ni mchezo wa kihuni tu bora hata boxing.
Kule USA huwezi kucheza ligi kuu ya kikapu kama hujapitia college,hata uwe na kipaji vipi lazima upitie college.
''Yanga waliandikamkataba kwa lugha ya kiingereza namimi sikusoma''-Feisal
Salum
Yanga wananitupia majini -Mayele
Huku prince Dube akivunja mkataba zikiwazimebaki mechi 8 na yuko tayari kulipa milini 500 ,kwa nini asingesubiri ligi ikaisha akaondoka bila gharama yahizo mil 500.
Kumpa forwad mkataba wa milioni 500 wakati anagoli moja msimu mzima-ujinga
Mifano ni mingi sana kuanzia process za kuingia viwanjani,Kupigwavirungu na askari,kulipia VIP ukaambiwa kakae mzunguko.kila mtu kujifanyakocha,mchambuzi na mtabiri,
Kule USA huwezi kucheza ligi kuu ya kikapu kama hujapitia college,hata uwe na kipaji vipi lazima upitie college.
''Yanga waliandikamkataba kwa lugha ya kiingereza namimi sikusoma''-Feisal
Salum
Yanga wananitupia majini -Mayele
Huku prince Dube akivunja mkataba zikiwazimebaki mechi 8 na yuko tayari kulipa milini 500 ,kwa nini asingesubiri ligi ikaisha akaondoka bila gharama yahizo mil 500.
Kumpa forwad mkataba wa milioni 500 wakati anagoli moja msimu mzima-ujinga
Mifano ni mingi sana kuanzia process za kuingia viwanjani,Kupigwavirungu na askari,kulipia VIP ukaambiwa kakae mzunguko.kila mtu kujifanyakocha,mchambuzi na mtabiri,