sychellis
Senior Member
- Oct 16, 2018
- 149
- 138
jina kusema kweli sijui kama wameandika ila haupotei we ukitoa sheli ya total uku mwanzoni ambapo wanauza mabegi kulia unanyoosha kama unaenda sokoni mwishoni kulia wanauza madela na vijora sasa kushoto duka linaangaliana naloHilo duka ungetusaidia jina mkuu
Au namba ya simu ya jamaa mwenye duka kama ulibahatika kuchukua