Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna jamaa angu anauza kadeti zile za kuvutika za elf 25 kwa sh elf 17 ila kuanzia pic 100 kariakoo, kampuni ni apple na jeepNaomba nifahamu wapi nitapata kadeti kwa bei ya jumla na bei yake ni ngapi wanapochukulia maduka ya k/koo
Hizo kadeti now rejareja ni 17000 mpk 16000kuna jamaa angu anauza kadeti zile za kuvutika za elf 25 kwa sh elf 17 ila kuanzia pic 100 kariakoo, kampuni ni apple na jeep
Jeep si ndo zinapauka mapema?Jeep sasa hivi zimekuwa majanga
Boss kuna sehemu Manzese jamaa alijuwa anachukua mashati ya Korea balo lake asee nilikuwa kila jmosi naenda kuchukua nguo anafungua baro tunagombania watu kibao shati kali ile mbayaaaaaaaaBalo za Korea Kusini zenye suruali za kitambaa unazo?
yah ni kweli, naona hata wamachinga wanazimwaga chini asa iviJeep sasa hivi zimekuwa majanga
Majanga yake ni niniyah ni kweli, naona hata wamachinga wanazimwaga chini asa ivi
Na kadeti kali na imara ni zipiyah ni kweli, naona hata wamachinga wanazimwaga chini asa ivi
chukua kampuni ya apple ni nzuri kitambaa kikali alafu zimekaa kifaza zaidiNa kadeti kali na imara ni zipi
Nitazipata wapichukua kampuni ya apple ni nzuri kitambaa kikali alafu zimekaa kifaza zaidi
zipo kariakoo, bei ni 25 ila mimi kuna jamaa ananiuziaga kwa 20, duka lake lipo kariakoo ukiwa unatoka uku kwenye sheli ya total unaenda mpaka mwisho unaliangalia soko mwishoni kushoto apaNitazipata wapi
Nani unayemjua anaziuza
Na bei zake zipoje
Vipi kupauka
Nitumie picha yake vizuri ya hio kadetizipo kariakoo, bei ni 25 ila mimi kuna jamaa ananiuziaga kwa 20, duka lake lipo kariakoo ukiwa unatoka uku kwenye sheli ya total unaenda mpaka mwisho unaliangalia soko mwishoni kushoto apa
izo hazipauki ovyo kama zile wanazomwaga ndomana hata bei ipo juu,Nitazipata wapi
Nani unayemjua anaziuza
Na bei zake zipoje
Vipi kupauka
Hilo duka ungetusaidia jina mkuuzipo kariakoo, bei ni 25 ila mimi kuna jamaa ananiuziaga kwa 20, duka lake lipo kariakoo ukiwa unatoka uku kwenye sheli ya total unaenda mpaka mwisho unaliangalia soko mwishoni kushoto apa
mi picha zake sina we google unaweza ukazipata, ila ni nzuri unavalia kiatu chochote chini kiwe cha kudumbukiza iwe raba tena ukivaa na raba hususa air force 1 au alexender maqueen. we mwenyewe unajiskia freshNitumie picha yake vizuri ya hio kadeti
Monday nikazisake hata mbili kwanza