Chova
JF-Expert Member
- Oct 21, 2018
- 267
- 364
[emoji106]Mkuu sijasema simuamini mleta uzi ila hii mambo yapo ni muhimu kuchukua tahadhari! Ila kwa ushiriki wa mleta uzi humu JF ,nAAMINI SIO MBABAISHAJI!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106]Mkuu sijasema simuamini mleta uzi ila hii mambo yapo ni muhimu kuchukua tahadhari! Ila kwa ushiriki wa mleta uzi humu JF ,nAAMINI SIO MBABAISHAJI!
Siyo kama anakupiga yeye mwenyewe muuzaji hajui kuna nini ndani..Kuna jamaa yangu alingia kwenya hii Biashara akanunua Mashati kwa laki sita...alipoenda nyumbani kufungua akakautana na mashati yote size kama ya Steven Wasira! 😀😀 wiki hiyo alianza kutafuta kazi ya kuajiriwa kwa wahindi! Watu wana roho mbaya sana!
Kuna mabaharia wanaitumia namba ya ofisi sivo ndivyo mkuu?Tafadhali namba ya simu ni kwa ajili ya Business.
asanteni.
Mixer ya pazia, shuka na taulo.mixer ya Pazia shuka na taulo @350,000 number 1 na @300,000 kww namba 2
pazia mchanganyiko @300,000
Pazia nzito @290,000
pazia za lace @ 420,000
Mabaharia washaanza kufanya yao?!!! 😀 😀 😀 😀 😀Tafadhali namba ya simu ni kwa ajili ya Business.
asanteni.
Ndo binadamu wazoe, kuna watakao kuja serious na wengine kama hao wanao jaribisha uwezekano wa kuokota embe dodo chini ya muembe.Wanazingua sana aisee.
😂 😂 😂 😂 duh, baharia zinatupia nyavu niniTafadhali namba ya simu ni kwa ajili ya Business.
asanteni.
acha hizo mkuu unaweza kuta huyu mtoa mada ni mama ako mkubwa. Heshimu kazi zake watu.Macorona haya jamani
Hili linauma sanaKuna jamaa yangu alingia kwenya hii Biashara akanunua Mashati kwa laki sita...alipoenda nyumbani kufungua akakautana na mashati yote size kama ya Steven Wasira! 😀😀 wiki hiyo alianza kutafuta kazi ya kuajiriwa kwa wahindi! Watu wana roho mbaya sana!
Hii ndio changamoto kubwa kwenye haya ma bero!!Hili linauma sana
Niliwahi fanya Biashara hii Tanga,nilichukua Mzigo Dar na kupeleka Ta
Dahhhh
Unakutana ndani na vitu vya ajabu ajabu tu
Mbaya zaidi,kuna wakati hata hela ya kununulia mzigo hairudi
Sent using Jamii Forums mobile app