Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mwezi ujao mwishoni nitakuchekiKuna king'ori,chini ya kikatiti ,chini ya kia , nipigie simu ukaone sehemu zote hizo ila utaniambie siku moja kabla ili tuandae gari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwezi ujao mwishoni nitakuchekiKuna king'ori,chini ya kikatiti ,chini ya kia , nipigie simu ukaone sehemu zote hizo ila utaniambie siku moja kabla ili tuandae gari
Sawa bossy karibuMwezi ujao mwishoni nitakucheki
Sawa bossy karibuMwezi ujao mwishoni nitakucheki
Ukija na,wateja wengine nitakushukuruMwezi ujao mwishoni nitakucheki
Kumbe Arachuga viwanja bei rahisi namna hii?Equation x njoo kuna shamba nzuri kwa ml 6 ndugu yangu ni 70m kwa 70m
Ndio ila haziko karibu na barabara njoo uwekeze kwa ajili yako na wajukuu hutojutiaKumbe Arachuga viwanja bei rahisi namna hii?
Sio langu la uridhi nipo kazini kama unahitaji njoo ofisini uje uyaoneAmeamua kuuza lile shamba la urithi, muuzie kambele
Hapana hatuzi tindiga ila kuna wengine wanauza sasa panga siku uje ofisini ujr ukaone hutojutiasio eneo la tindiga mkuu mana dongo la arusha hapana kwa kweli
Heka ni eneo ambalo linaukubwa zaidi ya kiwanja maana kiwanja ni 20 kwa 20 m ila heka ni 70 kwa 70 karibu uje ukaoneHeka ndio nini samahani
inapendeza waweza kuweka picha kidogo kama hutojaliHapana hatuzi tindiga ila kuna wengine wanauza sasa panga siku uje ofisini ujr ukaone hutojutia
Eka=AcreHeka ni eneo ambalo linaukubwa zaidi ya kiwanja maana kiwanja ni 20 kwa 20 m ila heka ni 70 kwa 70 karibu uje ukaone
SawaUkija na,wateja wengine nitakushukuru
Nothing exist forever!, wakati mwingine mabadiliko hayaepukiki!, ili uweze ku advance forward.(changes=development) utakapo ikataa change sometimes utaishi kwa magumu kweli simaanishi changes kwa ulazima wa kuuza kitu hapa bali kupenda changes (mabadiliko)Ameamua kuuza lile shamba la urithi, muuzie kambele
Mbona bei kubwa, huku Shinyanga heka unanunua kwa mil 1 tu.Equation x njoo kuna shamba nzuri kwa ml 6 ndugu yangu ni 70m kwa 70m
Basi nenda huko ukanunue hakuna aliyekunyima kununuaMbona bei kubwa, huku Shinyanga heka unanunua kwa mil 1 tu.
Heka kwa sababu nayo ni ardhi huwezi sema nauza ardhi na haijulikani inaukubwa ganiKiswahili kigumu sana..unauza Heka au unauza Ardhi?!