INAUZWA Tunauza, kufunga na kufanya marekebisho ya visimbuzi aina zote, pamoja na CCTV Camera na Uzio wa Umeme

INAUZWA Tunauza, kufunga na kufanya marekebisho ya visimbuzi aina zote, pamoja na CCTV Camera na Uzio wa Umeme

Hiyo elf 21 upate bas channel za maana [emoji35] yaan sijakilipia tangia mwez wa 6 na sina mpango najipanga njnnue azam!
Yaani hamna hata cha maana naishia kuangalia chanel 132 CBS reality kipindi cha Cheaters na Judge Judy channel zingine hamna, yaani elfu 19,900 wanaiona ndogo fyuu🙄🙄
 
Tatizo DSTv wanadhani wateja wao wote wanapenda mipira, mimi naipenda Dstv kuliko Azam tatizo ni mpangilio wa vifurushi vyao vinekaa hovyo hadi ulipie cha bei juu ndo una enjoy.

Mfano ili uangalie Discovery channel mpaka ulipime Premium yaani laki na ushee wakati kwa 28000 naiona Kwa Azam, Azam ana BBC, Fox, AJ , NHK ya Japan, National Geo, NA pia CNN inaanza Septemba. CHANNEL hizi nazipenda ila kwa Dstv naziona kwa gharama kubwa.

Kupanga ni kuchagua, hata local channel Dstv anazo chache wakati Azam kajaza zote, labda wateja wake wengi wazungu.

Dstv tafuteni Package nzuri zenye Documentary za kutosha sio michezo tu ili turudi, nina vingamuzi vitatu vya dstv na vyote nineweka pembeni nakula Azam now
 
Tatizo DSTv wanadhani wateja wao wote wanapenda mipira, mimi naipenda Dstv kuliko Azam tatizo ni mpangilio wa vifurushi vyao vinekaa hovyo hadi ulipie cha bei juu ndo una enjoy.

Mfano ili uangalie Discovery channel mpaka ulipime Premium yaani laki na ushee wakati kwa 28000 naiona Kwa Azam, Azam ana BBC, Fox, AJ , NHK ya Japan, National Geo, NA pia CNN inaanza Septemba. CHANNEL hizi nazipenda ila kwa Dstv naziona kwa gharama kubwa.

Kupanga ni kuchagua, hata local channel Dstv anazo chache wakati Azam kajaza zote, labda wateja wake wengi wazungu.

Dstv tafuteni Package nzuri zenye Documentary za kutosha sio michezo tu ili turudi, nina vingamuzi vitatu vya dstv na vyote nineweka pembeni nakula Azam now
 
Wamekaa kihuni huni tu,wanapandisha bei ya vifurushi kutokana na dola

Kuna wakati ilifikia kuangalia league ya EPL bila kifurushi cha 240,000 huoni kitu

Hata TBC nayo kifurushi kikiisha wanakata

ILIKUWA..!!
Ila sasa mambo ni tofauti hiyo EPL unaanza ona hata kwa Tsh 49,000.

Gharama zimekuwa nafuu mno ukilinganisha na huduma tunazotoa.

TBC hata kifurushi kikikata yenyewe unaendelea kuona n ikitokea huoni ni kiasi cha kutuambia then tunairejesha, kukata kwa TBC huwa inatokea labda kwa bahati mbaya tu ila unapaswa kuiona!
 
Mkuu dstv ata mm nilikuwa natumia na nina kisimbuzi na dish lake bt kwa sasa dilishi la dstv nimeunganisha na kisimbuzi cha azam dstv nimewahama kwa reasons zifuatazo...

Naomba nianze kujibu issue ya 3 badala ya #1 kwakuwa nimejikuta kama kuna kitu kinanikaba kooni pindi nnapoendelea kusoma #3 then nianze jibu #1.

3.DStv ndicho kisimbuzi ambacho kinahimili mvua kuliko visimbuzi vyote vya Dish. Isipokuwa ukikutana na fundi akakuwekea signal chini ya 50% lazima manyunyu tu ya mvua ukose kuona. Ingawaje ikipiga mvua kubwa ndo hupoteza signal, tofauti na visimbuzi vyengine ambavyo wingu tu na tv wingu!

2.Kifurushi kikikata inabaki TBC, swala la local channels ni issue ya serikali n taratibu zake ingawaje bado mchakato unaendelea.

1.Utofauti wa bei n anachokipata mteja ni sahihi.. kulipa Tsh 19900 anachopata mteja hakifanani na cha Tsh 8,000 ila huwa mara nyingi tunaangalia bei!
 
Hawa DSTV wapuuzi sana. Walishindwa kuacha channel ya TvN iwe permanent. Useless.
 
Naomba nianze kujibu issue ya 3 badala ya #1 kwakuwa nimejikuta kama kuna kitu kinanikaba kooni pindi nnapoendelea kusoma #3 then nianze jibu #1...
Kwa kweli hapo kwenye signal wamewaonea sana dstv. Ukifungiwa vizuri hata kitokee kimbunga kidogo bado channel unaona vizuri.
 
Kwa kweli hapo kwenye signal wamewaonea sana dstv. Ukifungiwa vizuri hata kitokee kimbunga kidogo bado channel unaona vizuri.
King'amuzi changu baadhi ya stesheni kinaonyesha error ya E48-32, Kuna fundi aliniambia eti tunner itakuwa imekufa, wewe utanisaidiaje?
 
Hv wakuu kuna uwezekano wa kununua decoder peke ya azam ikiwa mpya pasipo dish!!
 
Back
Top Bottom