Over the hedge
Senior Member
- Sep 6, 2019
- 143
- 162
We kweli bado mtoto yaani unavyosema huo ni uchafu utadhani unamiliki hata gari au baiskeli kumbe wewe ni mfunga ving'amuzi vya dstv π€£π€£π€£π€£Yan mtu mzima na heshima zako unanunua huo uchaf wenye kutu kwa 180k unafunga kwenye gar lako? Shame upon u!
Hahah humu kila mtu ni boss mkuu.Huyu dogo anadharau sana mali za watu halafu yeye mwenyewe hamna kitu[emoji23][emoji23][emoji23]
Anapiga kelele humu kumbe ni mfunga vingamuzi vya dstv [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa aisee yaani ukimuona dogo mwenyewe utashangaa kanaonekana hakana kitu ila kwasabab jf kila mtu boss ndo kanakuja kujimwambafy ππ sema sasa tushakaona so hakatupi taabu πππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabisa aisee yaani ukimuona dogo mwenyewe utashangaa kanaonekana hakana kitu ila kwasabab jf kila mtu boss ndo kanakuja kujimwambafy [emoji23][emoji23] sema sasa tushakaona so hakatupi taabu [emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia mdomo uliponza kichwa! Kua makini!Kabisa aisee yaani ukimuona dogo mwenyewe utashangaa kanaonekana hakana kitu ila kwasabab jf kila mtu boss ndo kanakuja kujimwambafy [emoji23][emoji23] sema sasa tushakaona so hakatupi taabu [emoji23][emoji23][emoji23]
Umechinja gari,unauza kitu kimoja kimoja,tyres hizo vip size gani zenyewe?Kelia yakubebea mizigo ktk gari ndogo
Ipo kinondoni nimetowa ktk gari yangu naiuza bei 185,000
Ipo kinondoni
0712690760, 0755984282
View attachment 1661634View attachment 1661635
Labda kicha chako hicho cha dstv π€£π€£π€£π€£Angalia mdomo uliponza kichwa! Kua makini!
Mali sio zako kidomo domo chanini? Nikikupa haki yako utalalamika?Labda kicha chako hicho cha dstv [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Angalia mdomo uliponza kichwa! Kua makini!
Nahitaji kufungiwa dstvMali sio zako kidomo domo chanini? Nikikupa haki yako utalalamika?
Huna pesa ya kufunga ds,we endelea kuangalia star hapo kwa shemeji yako!Nahitaji kufungiwa dstv
Gharama zake zipoje ???
Nimetowa sema nimetoa. Kelia sema keria,chengine jaribu kua na roho ya utu..huo uchafu unauza 185k kwel binadamu tuna roho ngumu.
Huna pesa ya kufunga ds,we endelea kuangalia star hapo kwa shemeji yako!
Hahah dogo naona alishaumbuliwa na yule jamaa aliyekua anauza Altezza.Labda kicha chako hicho cha dstv [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani wewe hukomi[emoji1][emoji1]kule umekimbia uzi kwa dalali[emoji23][emoji23] alikukomesha kweli hadi ukatoka nduki[emoji87]
Tulia ww,ushapata gar ya mil.2 au..wanaume wanapopambana mtoto wakike unatakiwa utulize marinda yasijetatuliwa
π π π π π πNahitaji kufungiwa dstv
Gharama zake zipoje ???
Sawa nicolas t**nga πHuna pesa ya kufunga ds,we endelea kuangalia star hapo kwa shemeji yako!
Ww n shgSawa nicolas t**nga [emoji28]