Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Yan mtu mzima na heshima zako unanunua huo uchaf wenye kutu kwa 180k unafunga kwenye gar lako? Shame upon u!
We kweli bado mtoto yaani unavyosema huo ni uchafu utadhani unamiliki hata gari au baiskeli kumbe wewe ni mfunga ving'amuzi vya dstv 🤣🤣🤣🤣

Tumeona picha zako dogo 😂😂😂😂
 
Kabisa aisee yaani ukimuona dogo mwenyewe utashangaa kanaonekana hakana kitu ila kwasabab jf kila mtu boss ndo kanakuja kujimwambafy [emoji23][emoji23] sema sasa tushakaona so hakatupi taabu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kabisa aisee yaani ukimuona dogo mwenyewe utashangaa kanaonekana hakana kitu ila kwasabab jf kila mtu boss ndo kanakuja kujimwambafy [emoji23][emoji23] sema sasa tushakaona so hakatupi taabu [emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia mdomo uliponza kichwa! Kua makini!
 
Tulia ww,ushapata gar ya mil.2 au..wanaume wanapopambana mtoto wakike unatakiwa utulize marinda yasijetatuliwa
Yani wewe hukomi[emoji1][emoji1]kule umekimbia uzi kwa dalali[emoji23][emoji23] alikukomesha kweli hadi ukatoka nduki[emoji87]
 
Back
Top Bottom