Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Vuta picha dalali wa Instagram anauza mil 5.5 je mmiliki halali atakuwa anauza sh ngapi?
Serikali inatakiwa iwaangalie hawa watu kwa jicho la pili aisee wanapoteza mapato mengi mno
 
Acha wizi wewe hiyo gari nimeikuta Instagram inauzwa mil 5.5 lakini wewe unauza mil 7
Hivi watanzania kwanini tunapenda ujanja hivi,ata Kama maisha ni kutegemeana sio kwa style hii[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 1697962
Na hapo 5.5 ..bado ukitaka unamshusha hata 4m unaweza chukua ...hapa mjini bila umakini utaibiwa
 
Na hapo 5.5 ..bado ukitaka unamshusha hata 4m unaweza chukua ...hapa mjini bila umakini utaibiwa
Shida watu wanaingia kichwa kichwa hawataki kuuliza matokeo yake mtu anaibiwa.
Kuna uncle wangu katoka usukumani badala kuuliza katoka kimya kimya kwenda kununua gar,matokeo yake brevis kauziwa mil 15 mamaee.
Karudi home mikwara mingi ikabidi nimchane, nikamwambia iyo mil 15 apo unapata brevis 3 na chenji inarudi
 
πŸ˜†πŸ˜† Madalali hawana huruma, uncle katoka bush usukumani wamemuuzia brevis mil 15

Dah Brevis mil 3.7 na mazungumzo yapo
Ngoja ni screenshot nimtumie uncle aone,mil 15 angezipata Brevis 4
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ angalia uncle asije dondoka kwa pressure mkuu.

Si unaona hayo majizi hapo,mmoja anauza 3.7m mwingine anauza gari hio hio 5mil.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alijifanya mjanja ..ili aje kukuringishia
 
Noah Whatsap[emoji336] 0712690760 mil 5.
::::Engine cc1980 :::
Mwaka::2001
[emoji618] : Petrol"”"Automatic:::
Ipo : Kinondoni :πŸ™engine Safi gia box Safi popote safari):::::::
[emoji383] Mil : 5.
[emoji336] 0712690760/0755984282
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…