Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Magar mazuri yanauzwa kwa Bei ya bajaji sijui kuna nn kipind hiki jaman

Au ndio Vita ya Ukraine imetufikisha hapa had mm Sasa kwa Bei hiz Nina ndoto ya kimiliki chuma hii
 
Nacho penda jf nisehemu yakukatisha tamaa kwakila biashara utakayo weka lakini mwisho wasiku unauza tu kwakuwa huku jamii forum ni kuwanatu wapo kwajili yakuponda na kuzalilisha biashara zinazowekwa
Hii gari imenyooka mpaka inakera! Bei umeweka ya kawaida sana ukilinganisha na muonekano wake. Ni suala tu la muda. Lazima itoke.

Wanaoponda, ni vizuri ukawapotezea.
 
Asant mkuu nimejiunga muda jf nilicho jifunza kupo tofauti namitandao mingine huku nikejeli zarau mizaha masihara zarau nyingi Hii ndio jf fikra pana
Mimi kwa tafiti isiyo rasmi nimegundua kwa sasa jamii forum ina vijana wengi sana ila baadhi ya hao ni wale ambao hua hawana muda wa kufikirisha akili zao bali kuchukulia kila jambo ni mzaha.

Kuna muda inaudhi sana ila ukikumbuka hili unaishia tu kukaa kimya kuwaacha wafanye kile wanachokitata tu.
 
Weka historia ya gari, mfano, ajali au kama ina malfunction yoyote, tafadhali
 
dah mawazo ya kimasikin aya!Tutafute pesa mkuu mbona iyo nipesa ya mbogatu
 
Nissan xtrial full ac mill5.85 WHATSAPP[emoji336] 0712690760
Mwaka: 2001
Engine capacity1980
[emoji618] petrol
Automatic
Engine safi gia Box safi
Ipo: kinondoni
[emoji383] MILL 5.85
[emoji336] 0712690760 AU 0755984282
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…