zebanga watelanga
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 862
- 398
- Thread starter
- #421
Inapoa mkuuBoss bei haipoi japo kidogo ktk hiyo figure uliyoweka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapoa mkuuBoss bei haipoi japo kidogo ktk hiyo figure uliyoweka?
Ikifika 3.5 nijulisheInapoa mkuu
Huu utani Sasa....🙂🙂 Hii Tano kama ipo kachukue mkuu...Ikifika 3.5 nijulishe
Mkuu uwezo wangu ni 3.5 ,kama waweza niongezee basiHuu utani Sasa....[emoji846][emoji846] Hii Tano kama ipo kachukue mkuu...
Mkuu Kwa bei 5m x-trial ni bei ya kutupa...Mkuu uwezo wangu ni 3.5 ,kama waweza niongezee basi
Njoo ulipie mill 1 au laki 8 napia tukiingea vizuri nakupa.bule sinimaongezi tuMkuu Kwa bei 5m x-trial ni bei ya kutupa...
Mkuu kama uliweza pata 3.5 hii 1.5 ukiamua unapata tu...
Unakamata mchuma wako... Kila lakheli mkuu
Hahahahahaha vijana wa hangaya hao.Njoo ulipie mill 1 au laki 8 napia tukiingea vizuri nakupa.bule sinimaongezi tu
Njoo ulipie mill 1 au laki 8 napia tukiingea vizuri nakupa.bule sinimaongezi tu
Mambo ya mil 3.5 Mara maelezo mengi yanini pesa njoo tu elewana ata bule nakuba Kuna term ndogo tu tulilewan nakupa mbona[emoji23][emoji23][emoji23] bure tena
Mambo ya mil 3.5 Mara maelezo mengi yanini pesa njoo tu tutahelewana ata bule nakubali Kuna term ndogo tu tukihelewan nakupa mbona
aseeMambo ya mil 3.5 Mara maelezo mengi yanini pesa njoo tu elewana ata bule nakuba Kuna term ndogo tu tulilewan nakupa mbona
Kwamba unamaanisha nn mkuu? [emoji23][emoji23]Mambo ya mil 3.5 Mara maelezo mengi yanini pesa njoo tu elewana ata bule nakuba Kuna term ndogo tu tulilewan nakupa mbona
Aje tu tukielewana Nampa bule mana jf Kuna wakatisha tamaa na majuhaa wengi kuliko wateja ndio mana namwambia njoo uchukue bule kabisaKwamba unamaanisha nn mkuu? [emoji23][emoji23]
Hiyo gari ilikuwa ni lazima uiuze mapema. Maana bei yake ilikuwa ni rafiki, na pia mwonekano wake kwa nje bado ni mzuri.Nawashukuru wakosoaji wote nawenye mbwembwe nyingi nimeuza tayari
😂😂😂😂😂🙌🙌Ikifika 3.5 nijulishe
Ishauzwa endelea kusubili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Sasa mbona ume reply kwangu mimi nilicheka kwasababu hiyo reply imenichekesha kilichofanya uniambie imeuzwa wakati sijakuuliza. Umejihisi tuIshauzwa endelea kusubili