Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Hizi gari zimekuwa nyingi sana kwa sasa..
 
Mleta uzi,

Hii showroom yenu iko wapi.?!
I mean sinza ipi.?!
 
Tatizo ni roho mbaya tuu biashara ya mtu unatoa kasoro utadhani wewe ni mtaalamu sana huwezi nunua pita tuu kama mimi anaeweza atawasiliana nae na si kuleta kebehi ambazo hazimsaidii mpambanaji kama mtu anapata dhamana ya kuuza hizo gari unaleta kejeli ili iweje...
 
Bei kubwa sana.
Pili TRA watahoji nlipozipata hizo fedha.

Tatu,hiyo hela bora kwekeza kwenye Duka la Spea na kupata fedha zaidi.

Nne,Hiyo ni anasa kwenye nchi ambayo watu wanaishi kwenye nyumba za tembe kutembelea mil 139.

Tano,Bora ukatoe sadaka kanisani hiyo hela ieneze injili
We jamaa ni masikini wa fikra bora unge kaa kimya...

Wakati mwingine kukaa kimya pia ni busara...

Umesababisha nielewe kwamba
1) wewe si mjasiriamali
2) Wewe hauelewi financial systems
3) Ukoo wenu haujawai kuwa na a serious enterprenuer..

Samahani my analysis based on ur critisms...


I am.back...ama gonna hit harder all idiots
 
We jamaa ni masikini wa fikra bora unge kaa kimya...

Wakati mwingine kukaa kimya pia ni busara...

Umesababisha nielewe kwamba
1) wewe si mjasiriamali
2) Wewe hauelewi financial systems
3) Ukoo wenu haujawai kuwa na a serious enterprenuer..

Samahani my analysis based on ur critisms...


I am.back...ama gonna hit harder all idiots
haaaaaaa haaaaa nimependa umaliziaji haka kamstsri kamwisho kabisa
 
Tatizo ni roho mbaya tuu biashara ya mtu unatoa kasoro utadhani wewe ni mtaalamu sana huwezi nunua pita tuu kama mimi anaeweza atawasiliana nae na si kuleta kebehi ambazo hazimsaidii mpambanaji kama mtu anapata dhamana ya kuuza hizo gari unaleta kejeli ili iweje...
.,,,,,,,,ASANT KAKA,,,,,,,,,,,,,,,
 
Bei kubwa sana.
Pili TRA watahoji nlipozipata hizo fedha.

Tatu,hiyo hela bora kwekeza kwenye Duka la Spea na kupata fedha zaidi.

Nne,Hiyo ni anasa kwenye nchi ambayo watu wanaishi kwenye nyumba za tembe kutembelea mil 139.

Tano,Bora ukatoe sadaka kanisani hiyo hela ieneze injili
Na ukipewa lifti ukatae
 
Bei kubwa sana.
Pili TRA watahoji nlipozipata hizo fedha.

Tatu,hiyo hela bora kwekeza kwenye Duka la Spea na kupata fedha zaidi.

Nne,Hiyo ni anasa kwenye nchi ambayo watu wanaishi kwenye nyumba za tembe kutembelea mil 139.

Tano,Bora ukatoe sadaka kanisani hiyo hela ieneze injili
Una pepo la umaskini.
 
Gari zuri ila mzigo sio wa kitoto mkuu,bado sijafikia huko
 
Back
Top Bottom