zebanga watelanga
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 862
- 398
- Thread starter
- #41
HAAAAAAAAAAAAAAAAAA HAAAAAAA NIMEIPENDA HII SANAUnafahamu bei ya Land Cruiser V8 ya 2015?? Acha kulinganisha simba na mbwa bro!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAAAAAAAAAAAAAAAAAA HAAAAAAA NIMEIPENDA HII SANAUnafahamu bei ya Land Cruiser V8 ya 2015?? Acha kulinganisha simba na mbwa bro!!
SINA KAKA MM NA HUSAKA NA LAND CRUISER KUANZIA 2014 MPK 2016Naomba kujua Bei ya Ford Ranger(Double Cabin) 2010 kuja juu. My Dream Car. Hata Used.
[emoji28]0 km maana yake hapo ilipofika ilibebwa na lift na haikupigwa test tangu itengenezwe. Wachezea odometer mpo wengi.
Mkuu sio wewe kweli hii thread?[emoji28]
Hapana aisee, huyo sie Mimi ...Mkuu sio wewe kweli hii thread?
We jamaa ni masikini wa fikra bora unge kaa kimya...Bei kubwa sana.
Pili TRA watahoji nlipozipata hizo fedha.
Tatu,hiyo hela bora kwekeza kwenye Duka la Spea na kupata fedha zaidi.
Nne,Hiyo ni anasa kwenye nchi ambayo watu wanaishi kwenye nyumba za tembe kutembelea mil 139.
Tano,Bora ukatoe sadaka kanisani hiyo hela ieneze injili
haaaaaaa haaaaa nimependa umaliziaji haka kamstsri kamwisho kabisaWe jamaa ni masikini wa fikra bora unge kaa kimya...
Wakati mwingine kukaa kimya pia ni busara...
Umesababisha nielewe kwamba
1) wewe si mjasiriamali
2) Wewe hauelewi financial systems
3) Ukoo wenu haujawai kuwa na a serious enterprenuer..
Samahani my analysis based on ur critisms...
I am.back...ama gonna hit harder all idiots
.,,,,,,,,ASANT KAKA,,,,,,,,,,,,,,,Tatizo ni roho mbaya tuu biashara ya mtu unatoa kasoro utadhani wewe ni mtaalamu sana huwezi nunua pita tuu kama mimi anaeweza atawasiliana nae na si kuleta kebehi ambazo hazimsaidii mpambanaji kama mtu anapata dhamana ya kuuza hizo gari unaleta kejeli ili iweje...
Ilete yako kwa bei hiyo, waachieni wanunuzihyp gari ni mil.130. we umeweka chako cha juu
Na ukipewa lifti ukataeBei kubwa sana.
Pili TRA watahoji nlipozipata hizo fedha.
Tatu,hiyo hela bora kwekeza kwenye Duka la Spea na kupata fedha zaidi.
Nne,Hiyo ni anasa kwenye nchi ambayo watu wanaishi kwenye nyumba za tembe kutembelea mil 139.
Tano,Bora ukatoe sadaka kanisani hiyo hela ieneze injili
Una pepo la umaskini.Bei kubwa sana.
Pili TRA watahoji nlipozipata hizo fedha.
Tatu,hiyo hela bora kwekeza kwenye Duka la Spea na kupata fedha zaidi.
Nne,Hiyo ni anasa kwenye nchi ambayo watu wanaishi kwenye nyumba za tembe kutembelea mil 139.
Tano,Bora ukatoe sadaka kanisani hiyo hela ieneze injili
Sidhani kama hiyo show room iko bongo, itazame picha vizuri.Mleta uzi,
Hii showroom yenu iko wapi.?!
I mean sinza ipi.?!
IPO SIKU UTAFIKIA MKUU JUDI NA MARIFA NAKUPAMBANA HAKUNA KUKATA TAMA MPAKA UNAKUFAGari zuri ila mzigo sio wa kitoto mkuu,bado sijafikia huko