Brodre
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,585
- 1,771
Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uziNigari yangu binafsi akuna chakula ndefu alio weka mill 3 mwambie akuzie mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uziNigari yangu binafsi akuna chakula ndefu alio weka mill 3 mwambie akuzie mkuu
Kuna uzi asubuhi nilikuta unaongelea c.service.Nigari yangu binafsi akuna chakula ndefu alio weka mill 3 mwambie akuzie mkuu
inawezekana mkuu.Wadau hebu tuache utani,mill tatu upate gari zima kweli?!!!!
Aisee muogopeni Mungu
Hahaha hai make sense mkuu.View attachment 734630 Hii gari nimeiona kwa dalali imesimamia 3.5mil. Kichekesho ni kuwa dalali anatangaza 3.5mil na huyu mwenye gari ni 3.65mil na haipungui.
Mkuu andika basi Kama mtu mzima!! Maneno kama "akuna" "akuzie" waachie mademu under 20Nigari yangu binafsi akuna chakula ndefu alio weka mill 3 mwambie akuzie mkuu
Wote ni madalali tu,huenda mwenye gari anataka only 3MView attachment 734630 Hii gari nimeiona kwa dalali imesimamia 3.5mil. Kichekesho ni kuwa dalali anatangaza 3.5mil na huyu mwenye gari ni 3.65mil na haipungui.
Ngoja niinunue Mimi ili niondoe mkosi kwenye familia yetu kwamba hakuna hata mtu mmoja aliyewahi kumiliki gari.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwaka : 1998
Cc : 1500
Km : 128432
Petrol
Automatic
Engine. 5A
Mahali hilipo :magomen
Gari ipo safi haina shida injini safi gia box safi
Bei : mill 3.65(Bei haipungui)
Simu : 0712690760/0755984282
View attachment 729989 View attachment 729990 View attachment 729991 View attachment 729992 View attachment 729993 View attachment 729995 View attachment 729996 View attachment 729997
Eqvlnt price to Motorcycle TOYO 250 CC. Maajabu!Wadau hebu tuache utani,mill tatu upate gari zima kweli?!!!!
Aisee muogopeni Mungu
Ukiona hivyo ujue wote ni madalali waliotofautiana kwenye njaa. Huyu ana njaa kali zaidi...View attachment 734630 Hii gari nimeiona kwa dalali imesimamia 3.5mil. Kichekesho ni kuwa dalali anatangaza 3.5mil na huyu mwenye gari ni 3.65mil na haipungui.
Utapata tu mteja gari zuri wengine wakati huenda bado. Umeandika Eugene 5A, ndo nini?. Sisi tusio na magari huwa tukisikia 6 cylinder ,tunaogopa eti zinakula mafuta mno.MTU akipost ata mill 2 mwambie akuzie ruksa Ila mm gar langu nataka 3.65
Mwaka 1998 ulikuwa na umri ganiWadau hebu tuache utani,mill tatu upate gari zima kweli?!!!!
Aisee muogopeni Mungu