Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Asante nimesha uza kwa wale mlio nitukana na kunikejeli pia nawashukuru Sana mungu hswabariki na pia wale walio nisaidia kuwa jibu walio kuwa wakinitukana najalibu kuwaomba matusi ayajibiwi na matusi asanteni Sana nawale walimu wangu wakiswahil wanao nisahisha nawashukuru pia siwengine hatukusoma km nyie mlio soma shukran
 
Asante nimesha uza kwa wale mlio nitukana na kunikejeli pia nawashukuru Sana mungu hswabariki na pia wale walio nisaidia kuwa jibu walio kuwa wakinitukana najalibu kuwaomba matusi ayajibiwi na matusi asanteni Sana nawale walimu wangu wakiswahil wanao nisahisha nawashukuru pia siwengine hatukusoma km nyie mlio soma shukran
Kukosolewa lazima hutaki hama JF kakae chato
 
Raum new model Whatsap[emoji336] 0712690760 mil 6.9
::::Engine cc1480 :::2nz engine
Mwaka::2005 km 124362
[emoji618] : Petrol"”"Automatic:::
Ipo : kinondon :🙁engine Safi gia box Safi popote safari):::::::
[emoji383] Mil : 6.9
[emoji336] 0712690760/0755984282
IMG-20210121-WA0014.jpg
 
Rav4 full AC full fail chin aigongi tail mpya Whatsap[emoji336] 0712690760 mil 7
Engine cc1980
Mwaka: 1996
[emoji618] : Petrol "Automatic
Ipo: kinondon : Engine Safi gia box Safi popote safari):
[emoji383] Mil : 7
[emoji336] 0712690760/0755984282

IMG-20210206-WA0031.jpg


1612762830346.png


1612763248162.png
 
Acha wizi wewe hiyo gari nimeikuta Instagram inauzwa mil 5.5 lakini wewe unauza mil 7
Hivi watanzania kwanini tunapenda ujanja hivi,ata Kama maisha ni kutegemeana sio kwa style hii😆😆😆😆😆View attachment 1697962

mkuu wabongo ni watu wa ajabu sana. unawezakuta mwenyewe anataka milioni 5 tu au hata 4.5M, Sasa kianzio cha hapo gari inaanza kupanda 5 inaenda 6 kwa dalali wa pili...inaenda 7 kwa dalali wa tatu na kuendelea. Kuna umuhimu wa madalali kushughulikiwa na kuwa registered na walipe kodi ilikuleta unafuu kwa wateja wao.
 
Back
Top Bottom