Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Inategemea imetunzwa vipi, 6.something ni reasonable price kwa noah
huwezi kuuza Noah iliyopuyanga Bongo zaidi ya miaka 10 kwa bei ya 6,800,000,hiyo hapo kwa picha tu inaonyesha imejazwa maputi na kupigwa rangi si chini ya mara tatu,bei halali kwa namba BC ni Milioni Nne
 
huwezi kuuza Noah iliyopuyanga Bongo zaidi ya miaka 10 kwa bei ya 6,800,000,hiyo hapo kwa picha tu inaonyesha imejazwa maputi na kupigwa rangi si chini ya mara tatu,bei halali kwa namba BC ni Milioni Nne
Duuuh! Basi sawa
 
Gari haingaliwi miaka Kwan gari huangaliwa matumizi yagari na ubora wagari km nimenunua iNjin mpya na GIA box mpya na bod Bado lipo vizuri Bado tutabaki kuihuku gari Kwa namba yake au tutanunua gari Kwa ubora wake wtz tupunguze Kujua kwingi gari sio Namba gari nimatunzo boss IPO namba DQ apa njoo ukaguwe Kisha kaguwa na hii Yangu tuje mezani.kuanza ku discuss number napia pita showroom Kujua Bei ya Noah Kwa sasa23mill
IMG-20220402-WA0036.jpg
 
Tatizo wabongo wajuaji Sana, huku nilipo Kuna Gari za miaka ya 70 lkn ipo barabarani na zipo Safi kabisa, na wanaendesha wazungu hawana shida. Sasa wabongo atakwambia Gari gani iyo ya zamani.
 
Tatizo wabongo wajuaji Sana, huku nilipo Kuna Gari za miaka ya 70 lkn ipo barabarani na zipo Safi kabisa, na wanaendesha wazungu hawana shida. Sasa wabongo atakwambia Gari gani iyo ya zamani.
Afazari nisaidie wewe zipo rav4 namba A bado nzima kabisa kucha kutwa wanaesabu Miaka hizigari nyingi zatanzania 2004 kushuka chini Miaka hilio tengenezwa wao kuchwa kutwa wananunua plet number nasio gari na Wana lishana Hadith za plet number nawauziwa plet number sio magari
 
Afazari nisaidie wewe zipo rav4 namba A bado nzima kabisa kucha kutwa wanaesabu Miaka hizigari nyingi zatanzania 2004 kushuka chini Miaka hilio tengenezwa wao kuchwa kutwa wananunua plet number nasio gari na Wana lishana Hadith za plet number nawauziwa plet number sio magari
Basi aseme imetembea KM ngapi?,unaweza kuta hata hiyo 4 M nyingi sana.
 
Hiyo ni lodge mkuu hebu angalia vizuri acha wenge
 
daah nyumba nzuri sana aisee na picha zake zinavutia kweli kweli! mi nimeipenda sanaaa [emoji57]
Mimi nimependa hizo CCTV camera zilizofungwa juu ya mlango, na hilo swimming pool la blue! Tiles za London, zinavutia kiukweli! Halafu humo ndani nimeielewa hiyo singboard! Sema alivyosema masofa na tv anakuachia bure utumie ndo kaua mchezo!
Mie ntampa 1M per month!
 
Back
Top Bottom