Bus lina tatizo gani?Zhongtong Climber
Namba D
Siti 53 2by2
Engine Cummins L360
Gearbox_Fast
Retarder
Front axle,Diff havijabadilishwa
inatumia mafuta kidogo
Halina tatizo lolote
Bei Tzsh mil 60
call,sms,whatsapp 0759399805
Umeanza visingizio. Huna hela wewe.Boss hivi simu za Itel bado zipo eee?
Maana sio Kwa picha hizi.
Kila la heriHalina tatizo
picha chiniView attachment 2900412Kwa anaehitaji Rosa ya kukodi kutoka Mwanza kwenda mikoani inapatikana
.Full Ac
.inakibali cha latra (special hire)
.Bima ipo
kwa gharama nafuu zaidi
Call,sms whatsap 0759399805.
View attachment 2900409View attachment 2900410View attachment 2900411
Katuokoa sana huyu. Sasa nikawa sijaenda Iringa kitambo sana. Nikaoata safari mwaka juzi nadhani. Nikaenda Mbezi Bus stand, nikaomba wanipeleke kwenye bus la Upendo nikiamini bado ndio King wa Iringa Dar. Aisee.Dah! Naona kitu cha Upendo Coach! Hizi gari ndugu zangu Wanyalu walikuwa wanazielewa sana enzi hizo.