Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

Hilo nalo ni kosa kumbe? [emoji847]
Kwenda Garage kwa ajili ya Car Wash then kupiga picha?? Uko serious kweli??
.
Sawa, tuseme nimekosea...ulitaka nipigie wapi picha?

Sent using Jamii Forums mobile app
ikiwa bar inakunywa.
Watanzania huwa mnakosea sana kwenye marketing na bado mnajifanya wajuaji. ungeuliza vizuri unapata na ushauri unadhani kila mtu atajua iko carwash.
 
ikiwa bar inakunywa.
Watanzania huwa mnakosea sana kwenye marketing na bado mnajifanya wajuaji. ungeuliza vizuri unapata na ushauri unadhani kila mtu atajua iko carwash.
Mwingine atajua iko wapi?
.
Ulitaka nipigie picha wapi mzee? Dah...kukosoa kwingine kunaboa sana aisee.
.
Mimi nauza gari siuzi picha mkuu. Ahsante kwa kunielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
YOM: 2004
Engine: 1zz vvti
Capacity: 1790cc
Automatic
Petrol
156,000 Kms
.
Location: Mikocheni - Dsm
.
Call: 0717 650800
IMG-20200319-WA0005.jpeg
IMG-20200319-WA0020.jpeg
IMG-20200319-WA0050.jpeg
IMG-20200319-WA0051.jpeg
IMG-20200319-WA0048.jpeg
IMG-20200319-WA0022.jpeg
IMG-20200319-WA0021.jpeg
IMG-20200319-WA0053.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom