akili akili
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,737
- 1,102
Hapana, nimeona tu ni nzuri, hata hatufahamiani na mtoa post.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una'reply na a/c nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una'reply na a/c nyingine.
Hilo nalo ni kosa kumbe? [emoji847]mkuu kosa ulilofanya umepigia picha garage.
Labda ikiwa saloon inanyolewa.Hilo nalo ni kosa kumbe? [emoji847]
Kwenda Garage kwa ajili ya Car Wash then kupiga picha?? Uko serious kweli??
.
Sawa, tuseme nimekosea...ulitaka nipigie wapi picha?
Sent using Jamii Forums mobile app
ikiwa bar inakunywa.Hilo nalo ni kosa kumbe? [emoji847]
Kwenda Garage kwa ajili ya Car Wash then kupiga picha?? Uko serious kweli??
.
Sawa, tuseme nimekosea...ulitaka nipigie wapi picha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwingine atajua iko wapi?ikiwa bar inakunywa.
Watanzania huwa mnakosea sana kwenye marketing na bado mnajifanya wajuaji. ungeuliza vizuri unapata na ushauri unadhani kila mtu atajua iko carwash.
Chembe cha moyo. Mafundi wa Kibongo lazima wakuharibie huu mkebe utaishia kubadilisha engine tu 1GWenye pesa zao chukueni mkebe huo
Usijae upepo .chukulia chanya mawazo ya watu.Mwingine atajua iko wapi?
.
Ulitaka nipigie picha wapi mzee? Dah...kukosoa kwingine kunaboa sana aisee.
.
Mimi nauza gari siuzi picha mkuu. Ahsante kwa kunielewa
Sent using Jamii Forums mobile app