Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

Ukwaju, hiyo uliyotag hapa ya 14m itakuwa 3000cc mkuu, kama ni 240G mgongoni kwake (2360cc) na haina shida kama hii yangu nipigie chap 0719 143475 nakuja kuilipia sasa hivi. I am serious
 
hiyo uliyotag hapa ya 14m itakuwa 3000cc mkuu, kama ni 240G mgongoni kwake (2360cc) na haina shida kama hii yangu nipigie chap 0719 143475 nakuja kuilipia sasa hivi. I am serious
nimekutana na Harrier 330 Lexus ina 2390cc na ni combination Auto /Manual siku hizi hawaleti tena tena 3000cc na unaweza badili aina yoyote ya injini kuanzia 5A,2AZ hadi 2GR
Labda nisikuharibie biashara yako ni kujuzana tu Mkuu, hvi kati ya gari Make ya 2006 na 2007 ipi Mpya au Mile age 60000km na 70000km
Unakutana na magari aina moja yote Harrier utaangalia Plate namba T 000 DWW au hivyo vitu muhimu? ukinijibu hapa nakuita mara moja kuna jamaa wa Hazina kawaka

TSh 14,500,000
2007 Toyota Harrier
Kinondoni, Kunduchi Dar Es Salaam
Details
Price negotiable Yes
Condition Used
Year 2007
Make Toyota
Mileage 60000
 
Mara zote mpaka mtu anauza gari yake ya thamani basi ujue tayari ni mzigo kwake. Na bahati mbaya sana hakuna muuzaji atakwambia kinaga ubaga uzito wa huo mzigo.
Sasa mteja unapaswa ujiongeze kujua namna ya kuubeba huo mzigo kabla ya kununua. Hili ni angalizo tu.

Otherwise hiyo gari ni nzuri, gari ya heshima mjini na katika picha hapo inaonekana iko imara na bomba. Bei? Hapo ni mapatano tu. Hakuna bei ndogo au kubwa katika bidhaa za kuuziana kibinafsi.
 
Mara zote mpaka mtu anauza gari yake ya thamani basi ujue tayari ni mzigo kwake. Na bahati mbaya sana hakuna muuzaji atakwambia kinaga ubaga uzito wa huo mzigo.
Sasa mteja unapaswa ujiongeze kujua namna ya kuubeba huo mzigo kabla ya kununua. Hili ni angalizo tu.
Otherwise hiyo gari ni nzuri, gari ya heshima mjini na katika picha hapo inaonekana iko imara na bomba. Bei? Hapo ni mapatano tu. Hakuna bei ndogo au kubwa katika bidhaa za kuuziana kibinafsi.
Hilo nalo JIBU naliunga mkono, mm naamini gari zote ni USED iwe Japan au Tanzania
ila bora Used ya Tanzania unarekebisha, lakini kuuziwa picha toka Japan inaweza fika Bandarini ukakuta matatizo kibao hata tiba hakuna
 
jibu fupi tu ni kwamba hiyo gari ina matatizo mkuu, usiwe mjuaji kupita kiasi. unafahamu ukiagiza hiyo gari mpk inafika TZ inacost kiasi gani? Ni zaidi ya 28m.
sasa ukikuta mtu anauza 14m hujiulizi?? then kama umejiridhisha ni nzuri KAILIPIE HIYO MKUU. Huyo bei yake ni TZS. 21.5m
Ahsante
sio wote wako km wewe wanunue hizo gari kwa 28M mradi uweke Plate No mpya TRA baada ya siku utafute soko, sio kwa miaka hii Mkuu, pia hatupo kuharibiana biashara ni kueleweshana tu MNAPIGWA hizo gari km ni zaidi ya 18M kwani hazivuki $ 4000 Harrier ya 2006,2007
 
Angalia usije ukatapeliwa ukaja na machozi!
Wameshanitapeli jamaa yangu
kuna showroom 2 za waarabu kule Kunduchi njia ya Bagamoyo wanaita kwa Warioba nimezikuta walianzia 30M nikawahesabia 17M wakakubali ndio nikakuta nimeingia mkenge Harrier nyeusi tii LEXUS eti kuwa TRA wananiachia mwenyewe ndipo fundi wangu akanifungua masikio 17M sikuwapa baada ya kuijua hiyo biashara, ikanibidi nichague ya hapahapa TZ
naogopa kuyataja hayo mauzaji
tusiingie ndani kazi za watu hizo acha watu wafuate namba mpya
 
Uandishi wako hua ni nadra kuuelewa mkuu.

Wameshanitapeli jamaa yangu
kuna showroom 2 za waarabu kule Kunduchi njia ya Bagamoyo wanaita kwa Warioba nimezikuta walianzia 30M nikawahesabia 17M wakakubali ndio nikakuta nimeingia mkenge Harrier nyeusi tii LEXUS eti kuwa TRA wananiachia mwenyewe ndipo fundi wangu akanifungua masikio 17M sikuwapa baada ya kuijua hiyo biashara, ikanibidi nichague ya hapahapa TZ
naogopa kuyataja hayo mauzaji
tusiingie ndani kazi za watu hizo acha watu wafuate namba mpya
 
Angalia usije ukatapeliwa ukaja na machozi!
Ndicho anachokitafuta huyu mkuu? Yani ununue Harrier second generation zenye 2AZ vvti(2003-2010) kwa 14m?...Na zile 1st generation zenye 5S engine(1998-2002) utanunua bei gani sasa???
.
Watu wengine huwa wanawatafuta matapeli kwa lazima.
 
Wameshanitapeli jamaa yangu
kuna showroom 2 za waarabu kule Kunduchi njia ya Bagamoyo wanaita kwa Warioba nimezikuta walianzia 30M nikawahesabia 17M wakakubali ndio nikakuta nimeingia mkenge Harrier nyeusi tii LEXUS eti kuwa TRA wananiachia mwenyewe ndipo fundi wangu akanifungua masikio 17M sikuwapa baada ya kuijua hiyo biashara, ikanibidi nichague ya hapahapa TZ
naogopa kuyataja hayo mauzaji
tusiingie ndani kazi za watu hizo acha watu wafuate namba mpya
uliiacha ya 17m unasema ya matapeli, sawa vizuri. Na tuambie basi hiyo ya hapa hapa Tz uliyoinunua uliinunua kiasi gani?
 
wewe hata hueleweki, umesema tunapigwa na kwamba hixo gari ni US $4000 ...Sawa. Basi naomba unijibu ukiiagiza mpk inafika Tz jumlisha ushuru wa TRA, Port charges, Tbs charges, Insurance na kila kitu mpk inakufikia nyumbani kwako itakugharimu kiasi gani? Labda tuanzie hapo kwanza. halafu sasa tutakwenda kwa hao wanaouza 14m (2007 na yenye 60,000 Kms)
.
Nasubiri jibu lako mkuu
tusiingilie Mada ya Jamaa maana ya uuzaji Gari lake Mada zinazohusu uagizaji wa Magari tumezijadili sana mm nimetoa mfano tu wa option za kununua kununua gari ya mwaka huo km unataka Luxuriy utapigwa kwa kuwa unaangalia namba angalia Make, Mile age na quality
  • Hiyo (2007 yenye 60000km) nimeilinganisha na Gari ya mleta Mada ya mwaka 2007 ya 70000km) ambapo tofauti ni zaidi ya 7M
  • fungua BeForward na wenzao wote kaangalie Harrier za 2006 - 2007
  • Manunuzi na usafiri 13 CIF$5,607
    (Approx. Exchange Price: TSh 12,908,449)Payment must be made in USD
  • TRA 6M
  • Bima na vingine 1M
  • Ndio maana nikasema kuna Gari za 17M mpaka 14M kwanini ukabamizwe zaidi ya 20M nimeshapitia huko nikagundua kuna wenye hela wanunue tu lkn mapka mwaka 2020 wako watakaopata kwa 12 hizo gharama za ziada mpaka 30M unaweza zikwepa ukapata Harrier 2
 
uliiacha ya 17m unasema ya matapeli, sawa vizuri. Na tuambie basi hiyo ya hapa hapa Tz uliyoinunua uliinunua kiasi gani?
Ok Mkuu sorry naona naeleweshwa Lengo la Mleta Mada ni kuuza sio kumharibia, Nimekuelewa
ngoja niingie hiyo mada ya magari mazuri tukajanjarushane hizi za bei ya chini
 
Back
Top Bottom