Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

Zimetosha mkuu sema bampa ya mbele ni ya kurekebisha.
Yes uko sahihi mkuu, bampa la mbele litahitaji marekebisho kdg [emoji1666]
.
Nashukuru kwa acknowledgement ya picha pia [emoji1666]
 
Kwani ume-upload picha ngapi?
Nashindwa kuelewa sasa hivi picha hazionekani mkuu.
.
Please kwa anayehitaji picha naomba anicheki whatsApp 0717 650800
.
Hapa sote tunaona jinsi ninavyojitahidi lkn inashindikana
 
Umesema unauza injini au gari? labda heading imekosewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…