Wakati mwingine kuwa mchawi sio lazima upae na ungo usiku [emoji419]imeuzwa!?
Mr. Passo ......Silipendi hili gari, lina shape mbaya. Milango yake sasa, afadhali hata milango ya Sienta.
Dah [emoji134]Silipendi hili gari, lina shape mbaya. Milango yake sasa, afadhali hata milango ya Sienta.
Nimefuta mkuu. Kumradhi.Dah [emoji134]
[emoji1666]Nimefuta mkuu. Kumradhi.
[emoji1666]Iko vizuri.
Naona pia jamaa amekipimpi vyema.
Sport rim nk.
Haijarudiwa rangi popote [emoji1666]Cha ajabu utashangaa ilirudiwa rangi